Tendwa Unasubiri nini kukifuta Chama Cha CUF?

Tendwa Unasubiri nini kukifuta Chama Cha CUF?

Wakristu hawana udini ila muamko wao wa kimaendeleo, kusoma kwa bidii ndiyo kinachowaponza hata kule Mombasa Kenya
Ni mkakati uleule uliowajaza Wakristo Dar na miji mingine ya Waislamu ndio uliokuwa ukitumika kupora ardhi za Waislamu na kuwajaza Wakristo Mombasa.

Hii ndio iliyowafanya watu wa Likoni na maeneo yake kuanzisha "Kayabombo" ili kuinusuru ardhi yao,Wazanzibari wana UAMSHO yao, Waislamu wa Tanganyika "bange" la nyerere lilikuwa bado likiwazingua!
 
Tumezoea hata huku mtaani wanandoa kugombana. Kuna ule wimbo, 'bibi na bwana wakigombana nyumbani, waache wenyewe mpaka wataelewana.....', lipumba katofautiana na mwanandoa mwenzake, watoto (akina tendwa) hawawezi kuingilia mgogoro na kuwatenganiasha au kumuua mama yao (CUF), NEVER EVER.
 
Lipumba akiwa kwenye nyumba ya ibada alidhibitisha kuwa mwaka 1995 aliombwa agombee Urais ili kuwakilisha watu wa Imani yake. Pia Mwaka 2010 Yeye na viongozi wa dini yake walizunguka nchi nzima ili kumuokoa Kikwete dhidi ya mziki mzito wa CHADEMA. Pia Amewataka watu wa dini yake wajipange mwaka 2015 ili waokoe jahazi kupitia CUF.

Sasa kwa MANENO KAMA HAYO YA LIPUMBA ni wazi kwamba CUF ilianzishwa maksudi kwa ajili ya watu wa imani fulani. CUF ni sawa na Chui alievaa ngozi ya Kondoo. Mimi niliwahi kuvutiwa na Sera za LIPUMBA wakati fulani.

Kwa ushahidi wa wazi kama huo, TENDWA UNASUBIRI NINI KUFUTA CHAMA HIKI HATARI AMBACHO HAKIWAKILISHI WATANZANIA WA IMANI ZOTE?
na mimi nauliza kwamba Julius Mtatiro nae anasubiri nini humo?
 
asimilia 90 ya viongozi wa chadema ni wakristo, tena wachungaji au watoto wa wachungaji wa makanisa wengine ni mapadre.. mleta mada ungependekeza chadema ndio kifutwe kwanza au vifutwe vyote chadema na cuf kwa pamoja
 
Chochote kinachohusu maslahi ya ccm huwa kama hakionwi.

Kama tendwa atashindwa kushughulikia hili na yeye pia awe mbioni kujiuzulu kwa kushindwa kazi

kuna kamanda fulani alisema atakuwa mtandaoni kucheck hao wanaoeneza udini. Ninachojiuliza ni kwamba hajafanikiwa kuona thread ya lipumba au anasubiri wampelekee ofisini.
 
chadema mwaka 2010 katika mikutano yake ya kisiasa iliwatumia viongozi wa makanisa badala ya kuwatumia viongozi wa chama.....jambo lile liliwaudhi sana wachungaji
 
afute kwanza chadema chama cha wakristo, wachungaji na mapdri,
na watetezi wa wakristo bungeni.
mukipamba namna hiyo manake munaiongezea wanachama wa kiislamu wajiunge zaidi na cuf.
 
Lipumba akiwa kwenye nyumba ya ibada alidhibitisha kuwa mwaka 1995 aliombwa agombee Urais ili kuwakilisha watu wa Imani yake. Pia Mwaka 2010 Yeye na viongozi wa dini yake walizunguka nchi nzima ili kumuokoa Kikwete dhidi ya mziki mzito wa CHADEMA. Pia Amewataka watu wa dini yake wajipange mwaka 2015 ili waokoe jahazi kupitia CUF.

Sasa kwa MANENO KAMA HAYO YA LIPUMBA ni wazi kwamba CUF ilianzishwa maksudi kwa ajili ya watu wa imani fulani. CUF ni sawa na Chui alievaa ngozi ya Kondoo. Mimi niliwahi kuvutiwa na Sera za LIPUMBA wakati fulani.

Kwa ushahidi wa wazi kama huo, TENDWA UNASUBIRI NINI KUFUTA CHAMA HIKI HATARI AMBACHO HAKIWAKILISHI WATANZANIA WA IMANI ZOTE?

nadhani angeanza kwanza kufuta chadema kutokana na viongozi wake kuhamasisha vurugu na kutukana vyombo vya dola
 
"Ni umaskini wa kifikra kujadili udini, kwa maana hata wewe ni mdini na udini maana yake hasa ni ubaguzi kwa hiyo ukiwa mdini jitambue wewe ni mbaguzi"
 
nadhani angeanza kwanza kufuta chadema kutokana na viongozi wake kuhamasisha vurugu na kutukana vyombo vya dola

pamoja na kuhamasisha kulisha watu sumu, rejea kesi ya lwakatare inayohusu kupanga kumlisha sumu mwandishi wa habari
 
Hawezi kukifuta chama kilichompa ushindi jk,halafu anawadanganya waislam wakati yeye alienda kufanya kazi Marekani,Nashangaa kwanini hakwenda kufanya kazi huko Oman
 
watu wengine hukosa hata cha hii hoja tumejadili sana na jana cuf wametolea ufafanuzi huyu analeta tena huyu ni mdini tu na anataka kutushirikisha tujadili mambo yake ya udini.vyama vyote vinamapungufu hata lwakatare ni gaidi kwa vile lwakatare yupo chadema kwa hiyo chadema kifutwe?.
 
mimi nalaani udini, nalaani mipango ya kulisha watu sumu, nalaani kutembea na sumu hadi bar, nalaani kumwagia watu tindikali, nalaani mauaji kwenye mikutano ya siasa na nalaani maovu yote
 
nadhani angeanza kwanza kufuta chadema kutokana na viongozi wake kuhamasisha vurugu na kutukana vyombo vya dola

Unafikiri kufuta chama ni rahisi kama taraka zenu. Kufuta chama kama CHADEMA ni balaa kubwa sana(usiombee hilo litokee ukiwa bado unaishi) wenzako ndani ya CCM wanalijua hilo umebakia wewe mwenye minor frontal lob usiyejua hilo. Mungu aepushie mbali.
 
Mimim binafsi niliuona, kuusoma na hauhitaji tafsiri yoyote.Tena uko hapa JF.Hakuna hata dalili ya udini zaidi ya kuhamasisha watu wakapige kura kwa uhuru na wakachague wanayemtaka. Tuletee walau sentence moja inayoonyesha udini ktk ule waraka

Inawezekana amechanganya waraka uliotolewa na baraza la maaskofu na mwongozo uliotolewa na Maimamu. m nimesoma docment zote mbili lakin hata mtoto wa primary anayejua kusoma ataweza kutofautisha maudhui ya doc mbili hzo. moja imetetea nch nyingine imetetea din fulan.
 
Back
Top Bottom