Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,233
- Thread starter
- #21
Chama kina mgombea Urais Padri hicho ndo cha kufutwa kwanza.Waislamu wamekwisha amka sasa hivi endeleeni kuimba mapambio hadi kwenye majukwaa ya siasa mkidhani mtapata kura za kanisani pekee yake zitawafikisha.
Kumbuka slaa alikuwa CCM, wakamuondoa kwenye kura za maoni akahamia CHADEMA, au mna allergy na mtu aliewahi kuwa padri. Any way, Watanzania mtaendelea na hisia za kidini hadi kiama. Naona sasa hivi mnaangalia kiongozi wa juu ni wa imani gani then mnamchukia