Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,233
Lipumba akiwa kwenye nyumba ya ibada alidhibitisha kuwa mwaka 1995 aliombwa agombee Urais ili kuwakilisha watu wa Imani yake. Pia Mwaka 2010 Yeye na viongozi wa dini yake walizunguka nchi nzima ili kumuokoa Kikwete dhidi ya mziki mzito wa CHADEMA. Pia Amewataka watu wa dini yake wajipange mwaka 2015 ili waokoe jahazi kupitia CUF.
Sasa kwa MANENO KAMA HAYO YA LIPUMBA ni wazi kwamba CUF ilianzishwa maksudi kwa ajili ya watu wa imani fulani. CUF ni sawa na Chui alievaa ngozi ya Kondoo. Mimi niliwahi kuvutiwa na Sera za LIPUMBA wakati fulani.
Kwa ushahidi wa wazi kama huo, TENDWA UNASUBIRI NINI KUFUTA CHAMA HIKI HATARI AMBACHO HAKIWAKILISHI WATANZANIA WA IMANI ZOTE?
Sasa kwa MANENO KAMA HAYO YA LIPUMBA ni wazi kwamba CUF ilianzishwa maksudi kwa ajili ya watu wa imani fulani. CUF ni sawa na Chui alievaa ngozi ya Kondoo. Mimi niliwahi kuvutiwa na Sera za LIPUMBA wakati fulani.
Kwa ushahidi wa wazi kama huo, TENDWA UNASUBIRI NINI KUFUTA CHAMA HIKI HATARI AMBACHO HAKIWAKILISHI WATANZANIA WA IMANI ZOTE?