Tendwa Unasubiri nini kukifuta Chama Cha CUF?

Tendwa Unasubiri nini kukifuta Chama Cha CUF?

Hahaha, jamaa yangu unanifurahisha. Waislam pigeni shule ili tupunguze vikundi vya itkadi kali

Mboa unachanganya mada kaka? Issue yako ni Lipumba au waislamu wote? Kwani CHADEMA ni wakristo watupu?

Mimi sijui wewe uliyesoma tutakutofautishaje na hao unawaita hawajasoma!

Kusomea kufunga vidonda ndio unaona umepata elimu wakati kila mwisho wa mwezi unapanga foleni kusubiri mshahara wa siku kumi ili uutumie mwezi mzima!

Acha ujinga, wewe huna elimu yoyote ya kujisifia humu jukwaani, haizidi degree ya kudesa ambayo haikuwezeshi hata kutengeneza kiberiti!
 
Leta ushahidi wa video kama tulivyoleta wa Lipumba!

Lukolo mbona unapenda kupiga mkwara vijana?

Jana nilikwambia kuwa nyie CHADEMA ilani yenu ya uchaguzi mliitengeneza sawa na ile ya baraza la maaskofu (TEC) ili mpate support ya wakristo has wakatoliki. Unataka ushahidi gani tena zaidi ya huo.


In 2010 kanisa lilikuwa likimpigia chapua alumni wao dr Slaa na serikali ilikaa kimya. Mngeanza kufutwa nyie kwanza kwenye ulimwengu wa siasa ambao hata bungeni mnaonesha hisia zenu za udini kupitia wachungaji mliokuwa nao!
 
Angekifuta kwanza chadema kwa kusigina katiba yake,kumlazimisha zitto kabwe kujitoa kwenye kinyan'ganyiro cha uwenyekiti.live watanzania wote waliona.maana ya cdm ni chama demokrasia na maendeleo.swala la lipumba si la kweli ni la kuungaunga.

Upo nje ya mada.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hapa ndipo tulipofika, nasubiri maamuzi ya mtatiro na wengine waliopo cuf ninaowapa benefit of dought, mnasubiri nini?
 
Zitto akihojiwa anasema CHADEMA hakuna mgogoro, nyie mlioko nje mnalazimisha kuwa Zitto anaonewa, au nyie ndiyo wasemaji wake?

Mkuu hawa ndio mashankupe ya mjini,kazi yao kubwa kufuatilia maisha ya majirani zao,na kusambaza uongo.
 
Siyo rahisi kuifuta kwa sababu mwenye ndoa atadai arudishiwe mke wake. Tena huyo mwenye mke alivyo mbabe atatumia policcm, mahakama na kila alicho nacho ili kumrudisha mkewe...
 
Angekifuta kwanza chadema kwa kusigina katiba yake,kumlazimisha zitto kabwe kujitoa kwenye kinyan'ganyiro cha uwenyekiti.live watanzania wote waliona.maana ya cdm ni chama demokrasia na maendeleo.swala la lipumba si la kweli ni la kuungaunga.

La kuungaunga!!? Ile kitu ni BONAFIDE GENUINE
 
Hapa ndipo tulipofika, nasubiri maamuzi ya mtatiro na wengine waliopo cuf ninaowapa benefit of dought, mnasubiri nini?

Siku Mtatiro akijielewa kuwa yuko mahali asipostahili atajilaumu sana...
 
Hapa ndipo tulipofika, nasubiri maamuzi ya mtatiro na wengine waliopo cuf ninaowapa benefit of dought, mnasubiri nini?

Mtatiro yuko busy anashughulikia viza ya kwenda HIJA mwakani....utamsubiri sana
 
Inawezekana amechanganya waraka uliotolewa na baraza la maaskofu na mwongozo uliotolewa na Maimamu. m nimesoma docment zote mbili lakin hata mtoto wa primary anayejua kusoma ataweza kutofautisha maudhui ya doc mbili hzo. moja imetetea nch nyingine imetetea din fulan.

Unategemea wauza kahawa na wapiga soga vijiweni watakuja na waraka wa maana? We huoni Basalleh na utu uzima wake ameshindwa kumwelewa Mary Nagu?
 
Angekifuta kwanza chadema kwa kusigina katiba yake,kumlazimisha zitto kabwe kujitoa kwenye kinyan'ganyiro cha uwenyekiti.live watanzania wote waliona.maana ya cdm ni chama demokrasia na maendeleo.swala la lipumba si la kweli ni la kuungaunga.

Kama kiongozi wako unaemheshimu, Sheikh Basaleh amekosa kabisa uwezo wa kumwelewa Mary Nagu, siwezi kuushangaa upumbavu utakaoonyeshwa na wauza kahawa na kashata kama huu wa kwako...
 
Ndugu yangu usiseme usilolijua. Hapa Tanzania tushukuru Mungu viongozi wa dini ya Kikristu wanauelewa wa juu. Wakiamua kupiga kampeni Makanisani kusupport chama chochote hakuna atakayeweza kukipinga. Unafikiri kama Mapdre wangeamua kupiga kampeni kanisani viongozi kama Kagasheki wangekuwa wabunge?

kwahiyo hawapigi kampeni kuwaelekeza waumini jinsi ya kupiga kura ni nani wampigie siyo!, lakini nina wasiwasi pia na ufuatiliaji wako wa mambo, hivi TEC ilitoa waraka kwa ajili gani? tena mara tatu au kampeni maana yake nini? naomba unieleweshe.
 
Angekifuta kwanza chadema kwa kusigina katiba yake,kumlazimisha zitto kabwe kujitoa kwenye kinyan'ganyiro cha uwenyekiti.live watanzania wote waliona.maana ya cdm ni chama demokrasia na maendeleo.swala la lipumba si la kweli ni la kuungaunga.
kama siasa ni uwongo hiyo ni hatari tupu. Lipumba amezungumza live msikitini halafu we unaleta utani! Huo ndo mwisho wa lipumba!
 
Angeanza kukifuta chadema ambacho kampeni za 2010 zilihamishiwa kanisani.
Blah! Blah! Tuwekee video hapa! Cuf ndo mwisho wake, labda mbaki na kina ponda na wale wasiolitakia mema taifa letu!
 
Chama kina mgombea Urais Padri hicho ndo cha kufutwa kwanza.Waislamu wamekwisha amka sasa hivi endeleeni kuimba mapambio hadi kwenye majukwaa ya siasa mkidhani mtapata kura za kanisani pekee yake zitawafikisha.

Acheni uhuni serikali tuna alhajis wengi sana.hiyo kwenu si tatizo on its own,kuna masheikh karume na wengine hakuna mtu alipiga kelele ila Slaa kuacha upadri kwa kufuata taratibu tayai mnawashwa,mnatamani kuongeza sheria zenu kwa wakatoliki.

PIA UACHE UPUUZI,UNAJIBIA WAISLAM KAMA NANI?WAISLAM WAMETUMIKA NA KWA MIAKA MINGI IJAO WAISLAM WATATUMIKA HADI HIKI KIZAZI KILICHOMIKA NA JK NA WANAO WAFE.KM BADO MTAZUBAA TENA WATAZIDI WARITHISHA WENGINE .MWISHOWE WAISALAM WATABAKI KUWA WATU WASIO HURU.LIPUMBA MWENYEWE KASHINDWA JIKOMBOA NA UPROFU WAKE WA UCHUMI.SASA UKISEMA NJAA SI AIBU,PROF NO1 DUNIANI HAJUI JINIS Y AKUJENGA UCHUMI BINAFSI NA WA CHAMA,HADI MAALIMU KAMZIDI?
 
Vyama vyetu vya upinzani vinasikitisha sana.
CCM iliponazisha mfumo wa vyama vingi ilitegemea vitaudwa vyama vyenye malengo mazuri na taifa, lakini unfortunately ndio vimeibuka CUF na Chadema.

Acha uhalua wewe....ccm walianzisha mfumo wa vyama vingi wapi?CCM mara zote kila kitu wanaweka kiwingu wakibanwa wanakubalia baadaye.walikataa wakalazimishwa na jumuia ya kimataifa,wakaja wapiga kamba raia kuwa wameruhusu ingawa raia walikataa(Raia walionyeshwa movie za mauajai ya kimbari ya rwanda, kutisha watu haswa), katiba nayo hivyo hivyo yakadandia na kunajisi tena, ..sasa ukianza tuletea uhalua hapa tutakusogeza kwa wala halua.
 
Back
Top Bottom