Tendwa Unasubiri nini kukifuta Chama Cha CUF?

Tendwa Unasubiri nini kukifuta Chama Cha CUF?

Mwenye akili kidogo ni ww unaeshabikia chama cha udini na ukabila, unatokwa na mapovu utafikiri umeshikwa kinyeo.
hahahahah udini na ukabila vipi mwenyekiti wako hujamwona kwenye video mkuu!
 
Mwaka 2015 wagombea wote wa urais kwa ticket ya CCM na CDM watakuwa wakristo. Sasa hao CUF wanaosema tumchague mwislamu mwenzetu watakuwa wageni wa nani?
 
CUF YALAANI BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI KUTUMIKA KISIASA KUENEZA UDINI.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

CUF TUNALAANI BAADHI YA MAGAZETI KUENEZA UCHOCHEZI WA KIDINI

Imetolewa na Abdul Kambaya

Naibu Mkurugenzi Habari, Uenezi na Haki za Binadamu

Mei 26, 2013

CUF – Chama cha Wananchi tumesikitishwa na baadhi ya magazeti (hususani Tanzania Daima) kuchochea hasama za kidini, na kuwabagua wananchi kwa mujibu wa imani zao huku wakihusisha chochezi hizo na baadhi ya Vyama vya kisiasa na viongozi wao, katika toleo Namba 3096 la Jumapili, Mei 26, 2013.

Kwa mujibu wa waandishi wa gazeti hilo George Maziku na Josephat Isango, ambalo linanalochapishwa kila siku na linamililokiwa na kampuni ya Freemedia ambapo umiliki wake unahusishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA) Freeman Mboe, muhusika mkuu aliehusishwa na tuhuma hizo za udini ni Prof. Ibrahim Haruna Lipumba Mwenyekiti wa CUF – Chama cha Wananchi.

Gazeti hilo pamoja na mambo mengi waliyoandika ambapo undani wake na tafsiri ni kutaka kuwaonyesha wananchi kuwa Prof. Ibrahim Lipumba na Dk. Jakaya Mrisho Kikwete wakiwa ni wenyeviti wa vyama vyao na walikokuwa wagombea urais mwaka 2010 waligubikwa na imani za udini na waliendesha kampeni zao kwa kutegemea kura za waislam, na Prof. Lipumba amekuwa akitumia misikiti na viongozi wa dini hiyo ili waislam nchini waandelee kukiunga mkono chama chake, na hasa katika uchaguzi ujao wa mwaka 2015.

Katika kuonyesha kuwa gazeti hili la Tanzania Daima limekusudia kuvigawa vyama vya siasa kwa falsafa ya udini, ni pale mwandishi anapomshutumua Rais Kikwete kwamba mwaka 2010 pamoja mgombea huyo wa CCM kuwashiwishi viongozi wa dini ya Kiislam kuwakataza waumini wao wasimuunge mkono mgombea wa CHADEMA ambae alishawahi kuwa Padre Dk. Silaa na ametumwa na Kanisa Katoliki lakini pia Propaganda hizo za Rais Kikwete alizielekeza kwa viongozi wa CUF na wafuasi wao kumpigia kura Muislam mwenzao yeye Kikwete huku wakiahidiwa kuwa Waislam wa CCM watampigia mgombea CUF mwaka 2015 kwa hoja kuwa CCM watakuwa wamesimamisha mgombea mkiristo.

CUF – Chama cha Wananchi hatushangazwi na gazeti hili ambalo uandishi wake linatumikia utashi wa mmiliki wake, ambapo mwaka huu wameibuka wakiwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumuhusisha Rais Jakaya Kikwete na tuhuma za udini, hususani uislam, na hivyo wanataka pia tuhuma kama hizo wamuhusishe nazo Mwenyekiti wetu Prof. Ibrahim Haruna Lipumba.

CUF – Tunatambua kuwa Mwenyekiti wetu Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ni Muislam, chama hakitoweza kumzuia kuhudhuria ibada katika msikiti wowote atakaotaka kwenda kuabudu na hata kualikwa iwe msikitini, kanisani na hata kwenye mahekalu ya kihindu na kutakiwa kutoa hutoba kwa waumuni wenzie au waliomualika, kama wafanyavyo viongozi wengine wa vyama vya siasa vikiwemo CHADEMA, CCM na vyama vingine, ambapo kumbukumbu zinaonyesha kuwa Rais wa awamu ya nne Benjamin William Mkapa alipokuwa madarakani alitangaza kuwapa Waislam chuo cha Tanesco Morogoro na kuwa Chuo Kikuu cha Kiislam na kutoka kauli kama ya Prof. Ibrahim Lipumba ya kuwataka “Waislam Wajipange” kwenye ibada aliyoalikwa na Waislam.

CUF – Tunasisitiza tunalaani gazeti hili la Tanzania Daima na tutaendelea kulaani chombo chochote kinachotaka kuwagawa Watanzania wawe ni Viongozi au wananchi kwa misingi ya dini zao, na tunaitaka Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo kutovifumbia macho vyombo ambavyo vinataka kutupeleka kusiko na hasa ukizingatia nchi yetu kwa sasa umegubikwa na matukio mengi yahusuyo migongano katika dini zetu na uharibifu wa nyumba za ibada.

Kwa mawasiliano zaidi 0719 566567

Hahahaha, hamkujua kuwa jamaa wana CD ka udini ka Liprefesserii wa UCHUMIDINI?
 
Hawezi kumfuta partner wa CCM.Wote hao pamoja na ofisi ya msajili ni partners!
 
kwan anaitwa Padri Slaa? si alishaacha try to speak your mind sio maneno uliyoambiwa msikitini 2010
 
afute kwanza chadema chama cha wakristo, wachungaji na mapdri,
na watetezi wa wakristo bungeni.
mukipamba namna hiyo manake munaiongezea wanachama wa kiislamu wajiunge zaidi na cuf.

Naomba unikumbushe, hivi Mchungaji Rwakatare yuko Chama gani?
 
Hapo kwenye RED, hiyo ndiyo tunaita kutapatapa. In short Mwenyekiti wenu LIPUMBA siku ile aliizika CUF, sijui hakujua kama kuna VIDEO SHOOTING?, Maskini Liprofeserriiiiiii wa UCHUMIDINI

Alichopoteza nini?zamani mulisema CUF ya udini, baada ya chama chenu cha udini kuwa na nguvu kidogo munasema Lipumba walikuwa wamuonea hakuwa mdini,siku zote kanisa na CCM lilimbana hakupata wabunge hata wawili wakati kina nguvu sasa leo atakosa nini?
 
si kifutwe chama cha kigaidi kwanza kinachoongozwa na lwakatare na slaa, au unaonaje ndugu?
 
Ni mkakati uleule uliowajaza Wakristo Dar na miji mingine ya Waislamu ndio uliokuwa ukitumika kupora ardhi za Waislamu na kuwajaza Wakristo Mombasa.

Hii ndio iliyowafanya watu wa Likoni na maeneo yake kuanzisha "Kayabombo" ili kuinusuru ardhi yao,Wazanzibari wana UAMSHO yao, Waislamu wa Tanganyika "bange" la nyerere lilikuwa bado likiwazingua!

Hahaha, jamaa yangu unanifurahisha. Waislam pigeni shule ili tupunguze vikundi vya itkadi kali
 
Hivi mnafikiri Chadema ikipiga kampeni Makanisani mziki wake mtauweza! Kama Mapadre, Maaskofu na wachungaji wote wakiamua kuubili uzuri wa Chadema makanisani nani atasimama? Kwa taarifa yako kuna sehemu hapa nchini serikali ikisema fanya hivi na padre akasema msifanye, watamsikiliza padre kuliko serikali.

Kumbe ccm ilianzisha....Hahahahaaaaaa
 
kwan anaitwa Padri Slaa? si alishaacha try to speak your mind sio maneno uliyoambiwa msikitini 2010
walimfukuzwa kwa kula pesa za ujio wa Papa,lingine alizaa watoto wawili,wakati Upadre wa RC hawaruhusiwi kuoa kwahiyo alikuwa anazini alafu anaenda kusalisha zaidi ya miaka 18.
 
Mimim binafsi niliuona, kuusoma na hauhitaji tafsiri yoyote.Tena uko hapa JF.Hakuna hata dalili ya udini zaidi ya kuhamasisha watu wakapige kura kwa uhuru na wakachague wanayemtaka. Tuletee walau sentence moja inayoonyesha udini ktk ule waraka

Naomba usjie ukakimbia! Kwanza haukuitwa waraka, mliuuita ilani ya uchaguzi ya mwaka 2010. Wewe umetaka sentensi moja mimi nitakutajia zaidi ya hizo katika huo waraka na hivi nanukuu:

1) Kwa hiyo ni muhimu kuandaa viongozi, kushirikiana nao na kushikamana nao na kuwadhibiti kwa lengo la kuwasaidia kuwa jasiri walio waaminifu katika kazi zao.

Baada ya kuwaandaa viongozi hao makanisani nini malengo yunu? Nanukuu tena:

2) Kwa hiyo tujadili pamoja na kama jumuiya za kanisa ni lazima tujifunze kuhimiza mahitaji yetu yazingatiwe na wenye maamuzi. Maoni yetu yasikilizwe na kufanyiwa kazi, tunu za kikristo tunazosimamia zionekane katika sera na katika mgawanyo wa bajeti ya serikali.

Hivyo ni vifungu kwenye ilani ya TEC (Baraza la maaskofu Tanzania) ambalo alumni wake DR W Slaa alikuwa akiliongoza kabla hajaacha kwa ajili ya kuingia kwenye siasa kwa malengo aliyokuwa anayajua yeye mwenyewe.

Maneno yangu:
1) Kwanza huo waraka wakanisa haukulenga watu wote, bali ulilenga wakristo kama hivyuo vifungu vinavyoonesha.

2) Maandalizi ya viongozi hao waliowataja katika kipengele cha (1) hapo juu, wala hukuhitaji tochi mwaka 2010 kwamba ni nani aliyekuwa analengwa. Si mwningine bali ni alumni wa TEC ( yaani katibu mkuu mstaafu wa TEC) ambaye naye alikuwa anagombea urais katika uchaguzi ule.

Umeridhika na hizo sentensi hapo juu kama ulivyoomba au unataka za ziada? au waraka ni tofauti na uliousoma?
 
walimfukuzwa kwa kula pesa za ujio wa Papa,lingine alizaa watoto wawili,wakati Upadre wa RC hawaruhusiwi kuoa kwahiyo alikuwa anazini alafu anaenda kusalisha zaidi ya miaka 18.
nani amekwambia alifukuzwa? je unajua aliandika barua ya kuomba aingie maisha ya ulei(laicization)je wajua hayo usiropoke tu.kufanya utafiti juu ya kitu si dhambi
 
Back
Top Bottom