Tetesi: Tenda zote za Serikali na makampuni binafsi kuwa monitored na serikali, mawakala binafsi hawana nafasi tena

Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica
Serikali ya ovyo tu ndio inayoweza kudharau sekta binafsi..

Nikikumbuka jiwe alivyodanganya kuwa Hostel za UDSM zilijengwa kwa 10Bil na TBA halafu CAG kwenye ukaguzi akasema ni 54Bil ndio pesa iliotumika nacheka na kuona Ikulu kuna kichaa kabisa..

Yote ni kudanganya umma kwamba sekta binafsi ni wezi.
 
Dunia inaenda mbele kwa kasi vivyo hivyo Tanzania inarudi nyuma kwa kasi ya ajabu...jamaa Nchi ameiharibu sana mpaka hapa tuu ilipofikia nadhani hii adhabu ni mpango wa Mungu sio bure...
 
Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica
Hivi kumbe na wewe mkuu ni muongo hivi???!!!
 
Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica
Akimalizana na Sisi atageukia kwenu mtaelewa tu
 
Tunakoelekea hii serikali itaanza hata kuuza Ice cream yenyewe na kupiga marufuku wananchi wengine kuziuza
IMG-20190306-WA0003.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sekta binafsi ilikuwa na makanjanja na wapiga dili wengiii. Bora king jiwe awashikije adabu..mpaka wanyooke. Nafurahi sanaaaa. Jiwe atawale mpka siku mungu atakapomchukua. Washike adabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyo kichaa anauwezo wa kuajili watu wote waliokuwa kwenye sekta binafsi au yeye kichwaa chake kimejikoroga hovyo kabisa sijui Kikwete alitokea wapi
 
Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica
Alipotamani fedha za matetemeko kule Bukoba, na akazipiga, watu walimtetea, kwamba ndiyo maendeleo.
Alipotamani fedha za korosho na kuzipiga, na kisha akapitisha sheria kabisa ziwe zake zote, na kuwatishia wale waliokuwa wanapinga kwamba ATAANZA NA SHANGAZI ZAO, watu walimtetea kwamba ndiyo maendeleo.
Alipotamani fedha zote za mashirika na kuzipeleka BoT, watu walimtetea kwamba ndiyo maendeleo.

Chuki yake kwa wafanyabiashara, wafanyakazi, wavuvi na wafugaji, ni kubwa na ya siku nyingi, ila anajitahidi sana kuificha. Lakini samaki akichina, hata umkaange kwa viungo vya wapi, bado kachina tu.

Huyo ndiyo Magu. Wanaombeba wanazidi kupungua kwa kuzidiwa na uzito wa asiyebebeka. Tutafika tu.
 
Daaaaah ANKALI anatafuta mchawi nani wakati yeye mwenyewe ndio "KAUTAPAKANYA" UCHUMI na sasa ndio Umempiga mweleka anatafuta mchawi NANI....Bado Kuleta Kodi ya KuDo na MKE/MME.
Kodi ya kujamba umesahau. Inasemekana kila mtu anapojamba anakua ameingiza pesa nyingi sana tumboni hivyo inatakiwa ailipie kodi
 
Kaaazi kwei kwei!!! Nakumbuka kipindi cha nyuma taasisi zote za Serikali walikuwa wananunu mahitaji yao yote ya kiofisi kupitia wakala wa Ununuzi yaani GPSA tatizo lilojitokeza ni ucheleweshaji wa malipo toka taasisi kwenda GPSA pamoja na changamoto nyingi huo mpango ukaanza kukwamia hapo wakarudi kwetu sasa wanataka kutoka tena.?
 
Back
Top Bottom