mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,061
- 106,492
Hataki kabisa kushirikiana private sector!Huyu jamaa hasemi tu lakini anaipiga vita sana sekta binafsi.
Halafu utashangaa huenda kashauriwa na Kabudi na Bashite!
Serikali ya ovyo tu ndio inayoweza kudharau sekta binafsi..Kila likiisha jambo linakuja lingine,
Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed
Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,
Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,
Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,
Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo
ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,
PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,
HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,
Britannica
Hivi kumbe na wewe mkuu ni muongo hivi???!!!Kila likiisha jambo linakuja lingine,
Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed
Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,
Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,
Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,
Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo
ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,
PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,
HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,
Britannica
Vifurushi visafirishwe na shirika la Posta tu, mabasi mwiko. Mitulinga kwenye uchumi??Ndo hivyo
Huyuu hatufai hata kidogo Kesha uwa bendi 100% bwembwe kibao kumbe hamna kitu hata kidogo
Dunia inaenda mbele kwa kasi vivyo hivyo Tanzania inarudi nyuma kwa kasi ya ajabu...jamaa Nchi ameiharibu sana mpaka hapa tuu ilipofikia nadhani hii adhabu ni mpango wa Mungu sio bure...
Akimalizana na Sisi atageukia kwenu mtaelewa tuKila likiisha jambo linakuja lingine,
Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed
Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,
Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,
Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,
Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo
ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,
PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,
HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,
Britannica
Tunakoelekea hii serikali itaanza hata kuuza Ice cream yenyewe na kupiga marufuku wananchi wengine kuziuza
Tunakoelekea hii serikali itaanza hata kuuza Ice cream yenyewe na kupiga marufuku wananchi wengine kuziuza
Hivi huyo kichaa anauwezo wa kuajili watu wote waliokuwa kwenye sekta binafsi au yeye kichwaa chake kimejikoroga hovyo kabisa sijui Kikwete alitokea wapiSekta binafsi ilikuwa na makanjanja na wapiga dili wengiii. Bora king jiwe awashikije adabu..mpaka wanyooke. Nafurahi sanaaaa. Jiwe atawale mpka siku mungu atakapomchukua. Washike adabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipotamani fedha za matetemeko kule Bukoba, na akazipiga, watu walimtetea, kwamba ndiyo maendeleo.Kila likiisha jambo linakuja lingine,
Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed
Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,
Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,
Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,
Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo
ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,
PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,
HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,
Britannica
Kodi ya kujamba umesahau. Inasemekana kila mtu anapojamba anakua ameingiza pesa nyingi sana tumboni hivyo inatakiwa ailipie kodiDaaaaah ANKALI anatafuta mchawi nani wakati yeye mwenyewe ndio "KAUTAPAKANYA" UCHUMI na sasa ndio Umempiga mweleka anatafuta mchawi NANI....Bado Kuleta Kodi ya KuDo na MKE/MME.