Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,980
- 14,745
Kikwete ana smile tu huko aliko..
+ KagameHuyu jamaa hasemi tu lakini anaipiga vita sana sekta binafsi.
Halafu utashangaa huenda kashauriwa na Kabudi na Bashite!
Kila likiisha jambo linakuja lingine,
Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed
Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza,
Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,
Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,
Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo
ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,
PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,
HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,
Britannica
Yaani Kabudi = Bashite?. Aman kweli siasa inapunguza hadhi ya watu!Huyu jamaa hasemi tu lakini anaipiga vita sana sekta binafsi.
Halafu utashangaa huenda kashauriwa na Kabudi na Bashite!
Kutesa kwa zamu ndiyo maana wengine wanasema zile sio risasi ni branko
Hahaha
ndio maana yule Jamaa amejikaza akashindwa ameona aje akutishe tu!
Huyu Mzee mbona anajipa kazi Nyingi za kufanya zisizo na tija ,Kama nchi imemshinda si aende zake ,kuna kila dalili dereva kasalenda .Mambo Yote anayofanya hafanikiwi ,hivi huwa hajiulizi tu ?Hivi ccm walituonaje watanzania mpaka kutuletea huyu Mzee .
Huyu Mzee mbona anajipa kazi Nyingi za kufanya zisizo na tija said:
Na bado zimezingua upigaji upo sana,,sijui anapodanganya inamsaidia nnSerikali ya ovyo tu ndio inayoweza kudharau sekta binafsi..
Nikikumbuka jiwe alivyodanganya kuwa Hostel za UDSM zilijengwa kwa 10Bil na TBA halafu CAG kwenye ukaguzi akasema ni 54Bil ndio pesa iliotumika nacheka na kuona Ikulu kuna kichaa kabisa..
Yote ni kudanganya umma kwamba sekta binafsi ni wezi.
Hapo kwenye mishahara athubutu, ndio atajua hata kunguru huwa anauma akizidiwa.Hapa ndio wale wanaoshabikia vyama vya upinzani kufa wajue hatari itakayowakabili pindi hilo likitimia.
Sasa hivi kuna kodi nyingi zinaendeshwa kimya kimya kibabe na hakuna ruhusa ya kuongea wala chombo chochote cha habari kuripoti.
Uchumi umeyumba vibaya sana na waliotaka sifa hawana ujanja, namna pekee ni ni kupora hela za wananchi kwa kodi za kitapeli.
Haya yanayoendelea yatakaa wazi tu pindi mishahara itakapooacha kulipwa. Yajayo yanasikitisha.