Ngoja muisome namba! Tuliwaambia siku nyingi mkawa mnatuona mafala.Huyu jamaa hasemi tu lakini anaipiga vita sana sekta binafsi.
Halafu utashangaa huenda kashauriwa na Kabudi na Bashite!
Wee jamaa uko wapi ?Wasema
Utaonana na kina Halima mdee BawachaVip tenda za kondomu?
Mitano TenaKila likiisha jambo linakuja lingine,
Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed
Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza, achia mpango wa watumishi kuwalazimishwa kutumia Posta na TTCL,
Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,
Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,
Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo
ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,
PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,
HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,
Britannica
Hapa ndio wale wanaoshabikia vyama vya upinzani kufa wajue hatari itakayowakabili pindi hilo likitimia.
Sasa hivi kuna kodi nyingi zinaendeshwa kimya kimya kibabe na hakuna ruhusa ya kuongea wala chombo chochote cha habari kuripoti.
Uchumi umeyumba vibaya sana na waliotaka sifa hawana ujanja, namna pekee ni ni kupora hela za wananchi kwa kodi za kitapeli.
Haya yanayoendelea yatakaa wazi tu pindi mishahara itakapooacha kulipwa. Yajayo yanasikitisha.
Vip tenda za kondomu?
Sawa mitano Tena mpaka muone ubaya wa yesu mliemtengenezamawakala, mawakala.....Rais JPM aliwahi kusema kuwa aliona jina la Mama yake kwenye orodha ya wanufaika wa vocha za pembejeo za kilimo, na alipomuuliza mama ulipewa lini vocha za pembejeo? Mama akamjibu vocha ya Vodacom au ttcl? Kumbe wajanja walishafanya yao....Kuna mawakala sio wezi ila jinsi ya kuwatambua...piga chini
Five moooo mlio wa ng'ombeThe will of the leader always is a best law - nimeupenda utaratibu huo, utatuimarisha, utatukomaza na kutufaidisha kama taifa
Aiseee Kweli tumefikia uchumi wa KATI kama nilivyotabiri hapo Mar 2019.......MITANO TENA.Kwa Mwendo Huu lazima tufikie Uchumi wa Kati.
-KLOZING BYURO DI CHENJI.
-NO TRANSPOTATION OF PARCEL VIA BUS
-GAVAMENT INTAVESHENI ON ALL TENDAZ.
Acha upuuzi we mpumbavu. Mbona we hujatekwa? Nani amteke huyu dada kila siku anagombania magari Buza kwa Rulenge asubuhiJiwe ni sikio la kufa!
MkuuWee jamaa uko wapi ?
Karibu tena , sasa nchi ishakuwa ya uchumi wa katiMkuu