Tetesi: Tenda zote za Serikali na makampuni binafsi kuwa monitored na serikali, mawakala binafsi hawana nafasi tena

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Kila likiisha jambo linakuja lingine,

Kwa habari zilizopo ni kwamba kunaandaliwa utaratibu maalumu wa kuwa na watu maalumu kwa ajili ya tenda mbali mbali kwa sekta zote, hospitali, shule, na makampuni mbalimbali ya nchini tender zote zitapitia kwa wakala wa serikali atakaye kuwa apointed

Nje ya tetesi kwa makampuni mengine ila
Kwa uhakika zaid kwenye shule zote za binafsi na serikali wameshapelekewa form za kujaza tokea mwaka jana ila haikuwa implemented,
Sasa kazi inaanza, achia mpango wa watumishi kuwalazimishwa kutumia Posta na TTCL,

Hutaruhusiwa kununua Hata sindano mfano kama una dispensary yako, ni mpaka uigaze kupitia kwa wakala,

Ukitaka madaftari kwa ajili ya shule yako inabidi ununue kupitia kwa wakala,

Inamaana wale mawakala wa usambazaji wa vifaa vya maabara, shuleni, madawa, samani na vingine vyote ulaji wao ndo unafungwa hivo

ANGALIZO
MPANGO HUU WA SERIKALI UTAFELI TU MAANA NIA NI KUFANYA KUTUNISHA MFUKO WA HUYO ATAKAYEKUWA WAKALA,

PIA SERIKALI IACHE HASA KUCHUKIA MASHIRIKA BINAFSI,

HATUSHINDANI KWA KUCHEZEANA FAUL, ILA NI KWA KUBORESHA MAZINGIRA,

Britannica
 
Hapa ndio wale wanaoshabikia vyama vya upinzani kufa wajue hatari itakayowakabili pindi hilo likitimia.

Sasa hivi kuna kodi nyingi zinaendeshwa kimya kimya kibabe na hakuna ruhusa ya kuongea wala chombo chochote cha habari kuripoti.

Uchumi umeyumba vibaya sana na waliotaka sifa hawana ujanja, namna pekee ni ni kupora hela za wananchi kwa kodi za kitapeli.

Haya yanayoendelea yatakaa wazi tu pindi mishahara itakapooacha kulipwa. Yajayo yanasikitisha.
 
Back
Top Bottom