mkuu mbona wako wengi tu. ukipita barabarani wanaonekana wananya maisha raha mstarehe.
Babu naye alipitia ujangili mkuu?Tembo hiyo ndo tabia yake kujifanya amekufa,alimuua babu yangu hivo hivo.R I P babu.
Huyo tembo aanze kutembezwa ruaha,manyara etc akatoe semina kwa wenzie jinsi ya kuua majangili.Big up tembo!
Huyo tembo aanze kutembezwa ruaha,manyara etc akatoe semina kwa wenzie jinsi ya kuua majangili.Big up tembo!
Unanikumbusha Shamba la wanyama pale wanyama walipopindua serkali ya bwana Mtiki pale shamba Ibura
Katekeleza agizo la waziri mkubwa!!!