Nadhani mm ni mmoja kati ya watu wachache walioona operesheni tokomeza ilikuwa sawa tu.
Unajua watu wanaokaa kando na hifadhi ndio wanatunza majangili ukiwabana watasema tu ila nchi hii cku hizi mnajifanya utawala wa haki na sheria mtu akipigwa kirungu kwa manufaa ya taifa mnakuja juu....wamewaona majangili wakipita hawakutoa taarifa wakamatwe au wao kuwakamata...------- kbs.
Mkuu hii Operesheni ilivurugwa na wanasiasa na hasa wabunge wetu katika oprsheni hiyo askari sita walipoteza na raia kumi walipoteza maisha, hakuna popote tulipoambiwa kuawa kwa jangili hata moja. Kama operesheni kama hiyo iliishia kupoteza raia kumi na askari sita bila jangili lolote kufa, basi uwezo wa majangili ni mkubwa mno.Tunawalaumu askari kua waliua raia lakini majangili hao hao wanaishi na raia.