Tembo aua Majangili wawili Mikumi

Tembo aua Majangili wawili Mikumi

Saf sana, bora wajilinde wenyewe tu I'll waendelee kuwa salama maana siku hiz hawalindw bali wanawindwa
 
Hivi hakuna uwezekano wa kuwavisha tembo bulletproof.?
 
mm nashindwa kuielewa hii serikali na vyombo vya usalama mbona hii ishu haijaripotiwa popote?au kuna mkona wa watu fulani hapo hata waziri husika sijamsikia akisema hii ishu mbona na jana alikuwa anaongea kwenye tv akiwa arusha?fungukeni jamani huu ujangili unafanywa na watu ambao wako kwenye system
 
mjusi ukimkimbiza sana hugeuka nyoka na kuanza kukukimbiza.

Very true kaka, hata paka usimpige ukiwa umefunga chumba, akiona kifo kinamkabiri anachegama, anakuwa na nguvu km simba anakujeruhi vibaya sana hutaamini ,chezea kufa wewe.
 
mkuu hujawahi kupita njia hiyo ukienda Iringa au Ifakara?tembo wako wengi hata njiani unapishana nao. huyo tembo anastahili nishani ya utumisihi uliotukuka, Jk anatakiwa amvalishe kwa heshima ya tembo wenzake
Hivi hifadhi ya Mikumi kuna Tembo
 
Aisee,bora wajilinde wenyewe maana hawa askari wanakula tu kodi zetu na tembo wanateketea kama kawaida.
 
Huyu Tembo angechukuliwa kusaidia wakati wa operesheni Tokomeza. Maana huyu angeenda moja kwa moja kwa majangili wenyewe tofauti na ilivyokuwa
 
Safi sana,malaya wa lumumba mbona hamsemi tembo alitumwa na cdm? hii ni bad news kwa yule muasisi wa mauaji ya tembo!
 
Ingekuwa ni kinana saa hz nishalewa kwa kinana za bariiiiidi kabisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom