Tembo aua Majangili wawili Mikumi

Tembo aua Majangili wawili Mikumi

Sungusungu ya Tembo.. Kudadeki.

Tembo kama M4C-OPD
 
Hivi hifadhi ya Mikumi kuna Tembo

Mkuu wewe unaishi wapi? Ukipita barabarani tu haukosi kuona tembo, hii nchi ina maliasili za kutosha kaka, sema majambazi tu ndiyo yanatugharimu, mbona Kenya ujangili hauvumi kama TZ!
 
safi sana, inasikitisha sana kuona tembo wanaisha, alafu jitu linakuja kutoa sensa waliobaki badala ya kuja na namna tulivyozuia kuuwawa kwa tembo, pumbaff sana
 
Aisee hii ni habari ya kusisimua!laleni mlipojiandalia majangili wawili big up tembo!
 
Tembo hoyeeeeeee! Tembo safiiiiiiiiiii! Tembo juuuuuuuuuu! Hilo ni fundisho kwa mengine wanaowaonea wanyama pasi kuwa na sababu
 
Duh! Serikali ya JK imepata msiba mkubwa,maana ndo wauaji wakubwa wa tembo,big up tembo wa train na wenzako namna ya kujilinda.
 
sasa mtoa taarifa, hao majangiri kumbe huwa wanajulkana. kama wanapita mtaani kwenda kutungua matembo wetu na watu wanawaona. kwa nini game wasiwe wanafanye counter attack kabla hawajaingia porini.
Hao game unafikiri nao hawaogopi majangili mtu anawaza mara mbili wanaoua tembo ni watu wazito hapa nchini weweni game una mshahar kujifanya umahiri ufe alafu watoto wale nini nyumbani au ufukuzwe kazi bila sababu ya msingi / sio kwamba hawjui wanjua but whowill take action agaisnt these poaching ?
 
Chezea Tembo wewe! bora wafanye wakiua majingili wengine kama kumi hivi wataogopa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom