miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
hongera Tembo uwa wote....
Huyo tembo aanze kutembezwa ruaha,manyara etc akatoe semina kwa wenzie jinsi ya kuua majangili.Big up tembo!
Ndugu yangu, mbona humtakii mema tembo wa watu? Kaponea chupu chupu kwa majangili waliotumwa kummaliza, sasa unashauri aende makao makuu ya CCM kwa bosi aliyewatuma majangili! Si ndio utakuwa mwisho wa maisha yake?Huyu tembo aende makao makuu ya CCM kuna mtu atamkuta pale....
Tembo hiyo ndo tabia yake kujifanya amekufa,alimuua babu yangu hivo hivo.R I P babu.
rip babu jangili
Tembo hiyo ndo tabia yake kujifanya amekufa,alimuua babu yangu hivo hivo.R I P babu.
Hivi hifadhi ya Mikumi kuna Tembo
Inasikitisha na kufurahisha pia.
Msiba nyumbani kwa kinana....
Tembo hiyo ndo tabia yake kujifanya amekufa,alimuua babu yangu hivo hivo.R I P babu.
Tembo kaonyesha uwezo mkubwa wa kuuwa majangili... sasa aende kwa mabosi wanaosafirisha vinavyoletwa na majangiliNdugu yangu, mbona humtakii mema tembo wa watu? Kaponea chupu chupu kwa majangili waliotumwa kummaliza, sasa unashauri aende makao makuu ya CCM kwa bosi aliyewatuma majangili! Si ndio utakuwa mwisho wa maisha yake?