Telecommunication Engineers Njoo mnieleweshe kidogo

Telecommunication Engineers Njoo mnieleweshe kidogo

Ingawa mimi sio fani yangu ntakuelekeza

No one actually owns the Internet, and no single person or organization controls the Internet in its entirety.

No one actually owns the Internet, and no single person or organization controls the Internet in its entirety. The Internet is more of a concept than an actual tangible entity, and it relies on a physical infrastructure that connects networks to other networks.

Ngoja kwanza mkuu narudi tena
Mkuu uko sahihi lakini umeongea kidarasani zaidi, simple internet is the business basi,
 
em tuanzie mbali kidogo nini maana ya internet, internet = interconnected network , yaani mtandao ndani ya mtandao, lengo ni kurahisisha mawasiliano

kama vile mtandao wa barabara kurahisiha usafiri(mawasailiano) kati ya bukoba mpaka dsm

kuna ile triki unatumia vikombe viwili , na kamba ( nyuzi za kiroba) alaf mnakua mnaongea watu wawili

pale tayari na mtandao wa watu-2, ukiongeza kamba na kikombe ukamvutia mtu wa 3 tayari pale ni mtandao wa watu-3

chukualia 'internet' tuliyonayo ni mtandao wa watu bilioni 7 ivi lengo ni mawasiliano ( kutuma na kupokea taarifa )


so ni lazima uwe na barabara ( route) ambayo ni moja ya miundombinu, kusafirisha taarifa point moja adi nyingine

chukulia mfumo wa dawasco bomba zile zinazotoka Ruvu kuja DSM zinakua ni kubwa (thick) mno, ila kila zikisambaa zaidi kwa 'watuamiaji' zinapungua ukubwa wake ( diameter )

ndicho icho kilicho kwenye mfumo wa 'internet'

kwa level ya juu kabisa (mwanzo) , level-1, tuna:

a. Tier 1 network ambayo ni haya hapa


hawa wamejiunganisha wenyewe ( peering) kwa kutumia mabomba makubwa (route ) na hakuna anaelipa kwa mwenzake

so kila mmoja kwenye iyo level-1 network, ina 'tap' bomba na kumuuzia anaefuata kwa level ya chini yake, level-2

so walio kwenye level-2 wananunua 'IP transit' kutoka kwa level-1, sawa na wewe uunganishiwe umeme kutoka kwenye nguzo au uunganishiwe bomba la maji kutoka bomba la mchina

hawa level-2 wanaitwa Tier 2 network ambao ni hawa hapa


ukicheki vizuri hapo utaona hawa Tier 2 wananunua 'transit' kutoka kwa Tier 1 ( hawanunui Bandwidth aka MBs)

b. Distribution bado inaendelea, hawa level-2 wanawaungia bomba (route) ambao wanaitwa mid-sized ISPs
na kuwauzia 'IP transit', yaani unalipia gharama za kuungiwa bomba (sio bandwidth) na gharama za kuwa katika 'mtandao'

kumbuka members wote waTier 2 mabomba yao yote yameungwa pamoja (peering) ( kama ilivyo kwa Tier 1) na hawachajiani.

lengo la 'peering' ni kuongeza 'connectivity enhancement'

kabla sijaenda mbali bomba hapa namaanisha 'barabara za kimawasiliano' ambayo ni kwa njia ya waya (fiber) au no- waya (satelliite)

Baadhi ya mid-sized ISPs ni Etisalat ( Zantel inachukua transit uko) Vodafone ( kama Tier / Tier 2 pia, Vodacom Tz inachukulia transit uko ) , nk


halafu tunakuja kwa Tier 3 network, izi ndo zile ndogo kabisa akina Zantel, Tigo, Airtel, ambao huungia 'transit' na makampuni mama yao

mf: Airtel Tz inaungwa na Bharti ya India, anachokifanya Airtel Tz ni kuwa na 'Internet Gateways' kujiunga kama bomba linalotoka India ( again kwa njia ya waya(fiber) au wireless(Satellite)

Baadhi ya ISPs hapa Tz wanatumia gateways (on lease) za ISPs wengine ( mf: Tigo kwa Zantel )

chain bado inaendelea, hawa Tier 3 network wanachofanya ni kujenga BTS (minara), BSC ( visimamizi vya minara), MSC ( mfumo wa taarifa ipi iende wapi na kwa nani ), links( fiber kupitishia data) , nk kwenda kwa wateja wa mwisho (end users)

then inauza Bandwidth kwa akina sisi (end users ) , Bandwidths ni MBs
Mkuu ninekupa like japo sijasoma bandiko lako lote lakin nimehis uko na point, ila jaribu kuvuta wasomajo kabla ya kushusha nondo,
 
Tunamsubiria yuke jamaa wa TESLA atuletee internet ya gharama nafuu. Hawa jamaa wanatunyonya sana.
 
TTCL inamiliki Mkongo wa Taifa ambao Seacom waliutandaza habarini hadi Tz. TTCL ndiye anauza kwa kina Tigo na wenzake.
 
em tuanzie mbali kidogo nini maana ya internet, internet = interconnected network , yaani mtandao ndani ya mtandao, lengo ni kurahisisha mawasiliano

kama vile mtandao wa barabara kurahisiha usafiri(mawasailiano) kati ya bukoba mpaka dsm

kuna ile triki unatumia vikombe viwili , na kamba ( nyuzi za kiroba) alaf mnakua mnaongea watu wawili

pale tayari na mtandao wa watu-2, ukiongeza kamba na kikombe ukamvutia mtu wa 3 tayari pale ni mtandao wa watu-3

chukualia 'internet' tuliyonayo ni mtandao wa watu bilioni 7 ivi lengo ni mawasiliano ( kutuma na kupokea taarifa )


so ni lazima uwe na barabara ( route) ambayo ni moja ya miundombinu, kusafirisha taarifa point moja adi nyingine

chukulia mfumo wa dawasco bomba zile zinazotoka Ruvu kuja DSM zinakua ni kubwa (thick) mno, ila kila zikisambaa zaidi kwa 'watuamiaji' zinapungua ukubwa wake ( diameter )

ndicho icho kilicho kwenye mfumo wa 'internet'

kwa level ya juu kabisa (mwanzo) , level-1, tuna:

a. Tier 1 network ambayo ni haya hapa


hawa wamejiunganisha wenyewe ( peering) kwa kutumia mabomba makubwa (route ) na hakuna anaelipa kwa mwenzake

so kila mmoja kwenye iyo level-1 network, ina 'tap' bomba na kumuuzia anaefuata kwa level ya chini yake, level-2

so walio kwenye level-2 wananunua 'IP transit' kutoka kwa level-1, sawa na wewe uunganishiwe umeme kutoka kwenye nguzo au uunganishiwe bomba la maji kutoka bomba la mchina

hawa level-2 wanaitwa Tier 2 network ambao ni hawa hapa


ukicheki vizuri hapo utaona hawa Tier 2 wananunua 'transit' kutoka kwa Tier 1 ( hawanunui Bandwidth aka MBs)

b. Distribution bado inaendelea, hawa level-2 wanawaungia bomba (route) ambao wanaitwa mid-sized ISPs
na kuwauzia 'IP transit', yaani unalipia gharama za kuungiwa bomba (sio bandwidth) na gharama za kuwa katika 'mtandao'

kumbuka members wote waTier 2 mabomba yao yote yameungwa pamoja (peering) ( kama ilivyo kwa Tier 1) na hawachajiani.

lengo la 'peering' ni kuongeza 'connectivity enhancement'

kabla sijaenda mbali bomba hapa namaanisha 'barabara za kimawasiliano' ambayo ni kwa njia ya waya (fiber) au no- waya (satelliite)

Baadhi ya mid-sized ISPs ni Etisalat ( Zantel inachukua transit uko) Vodafone ( kama Tier / Tier 2 pia, Vodacom Tz inachukulia transit uko ) , nk


halafu tunakuja kwa Tier 3 network, izi ndo zile ndogo kabisa akina Zantel, Tigo, Airtel, ambao huungia 'transit' na makampuni mama yao

mf: Airtel Tz inaungwa na Bharti ya India, anachokifanya Airtel Tz ni kuwa na 'Internet Gateways' kujiunga kama bomba linalotoka India ( again kwa njia ya waya(fiber) au wireless(Satellite)

Baadhi ya ISPs hapa Tz wanatumia gateways (on lease) za ISPs wengine ( mf: Tigo kwa Zantel )

chain bado inaendelea, hawa Tier 3 network wanachofanya ni kujenga BTS (minara), BSC ( visimamizi vya minara), MSC ( mfumo wa taarifa ipi iende wapi na kwa nani ), links( fiber kupitishia data) , nk kwenda kwa wateja wa mwisho (end users)

then inauza Bandwidth kwa akina sisi (end users ) , Bandwidths ni MBs
Shukrani sana
 
Back
Top Bottom