TEKNOLOJIA YA ROBOTI: midoli ya kufanyia mapenzi

TEKNOLOJIA YA ROBOTI: midoli ya kufanyia mapenzi

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
3,871
Reaction score
6,468
Hakuna kitu kimefanya nimuamini Mungu wangu kama maneno yake yaliyonenwa na yeye huyo huyo mungu kwenye moja ya vitabu vyake vitakatifu karne nyingi zilizopita na kwa uwezo wake usio kifani yakatimia

Sikuwa na shaka pale nilipopitia miongoni mwa vitabu vyake huyu mwenyezimungu chenye maneno adhwiimu yenye , yenye fanaka , kujaza ujasiri na hamasa kwa wafuato kitabu hicho qur'an

Akatwambia kwenye kitabu hicho hicho

katika sura ya 108 aya 1 ... "hakika sisi tumekupa heri nyingi"

swadaktana mungu alinena yakini kabisa

Alileta heri nyingi sana katika zama hizi kuliko zama za kale zaidi..... ikiwemo moja ni maendeleo ya sayansi na teknolojia...

Katika hili la maendeleo ya teknolojia na sayansi kuna mengi yenye faida tele na hasara.

Lakini mwanadamu huyu hakusita kuendelea kuonyesha bobezi kwenye nyanja mbalimbali za kiteknolojia na sayansi.

Hakuacha kurusha vyombo kwenda anga za mbali vyovyote kila apendavyo mchezo wa kuruka na kutua mwezini aliufanikisha tangu miaka 1960s,

Na kama ujuavyo nyakati hizi tunae mwanadamu mwenye talanta ya aina yake , mbunifu, mwanaume makini na mchapakazi Elon musk hakuacha kukushitukiza kila alipoona sabababu yakufanya hivyo, alipouambia ulimwengu ajenda yake ya mwanadamu kuishi sayari tofauti na sayari aliyotuweka mwenyezimungu tangu enzi......afanye nini tena cha kukushangaza ushtuke ilhali ushamzoea

Mwanadamu hakuacha kutengeneza ndege,meli,silaha za kisasa, majengo ya kisasa, na miundombinu iliyo bora zaidi tofauti na zama za nyuma za kina baba yetu ibrahimu na yule mtengeneza safina, Nuhu

Pengine hili pia lingekuacha katika namna ya kushangaza,mdomo wazi na tafakuri ya hali ya juu

ila mwanadamu huyu huyu hakusita kulifanya.

Wahenga wanasemaga kata pua uunge wajihi

Ukiteleza ukaweka kasoro basi utalazimika kuziba mapengo yaliyosababisha kasoro zako.

Wengi wetu tungependa kuwa na mwanamke mzuri mrembo na anaevutia kama cleopatra wa kule misri..anaependeza machoni kwa kila mwanadamu anaemtazama katu asingeacha kumsifu.... pengine hata punda na faru wa kule mbugani wangependa kuwa karibu naye
Screenshot_20201128-104806.png


Huenda pia sie twajua sababu 5 kati ya 75.6 wazijuao wao za kufanya hayo wayafanyao

Haya ndiyo maendeleo ya teknolojia na sayansi


kuna Roboti/midoli iliyotengenezwa kwa minajili ya kazi mbali mbali lakini kuna hii iliyo maalumu ajili ya kuwaridhisha watu katika mapenzi imetengezwa midoli aina tofauti tofauti.

ila Harmony doll ndiyo midoli iliyotengenezwa kwa uwezo wa hali ya juu kabisa kabisa kwa ajili ya kufanya mapenzi
Screenshot_20201122-125333.png


Wamarekeni huko california walifanya maajabu ya mdoli huyu mwaka 2018 ...mwenye viwango vya hali ya juu kabisa vya mapenzi kama mwanamke halisi

Basi kama ingekuwa kisoka basi tungemtaja de jong yule wa barcelona mwenye kupiga pasi za viwango pasi ambayo ukishindwa kuipokea basi ni vile tu wewe huujui mpira lakini viwango vyake ni maridhawa.

Wanadamu walimuunda mdoli huyu kama roboti mwenye sifa zote za mwanamke halisi isipokuwa uhai..

Screenshot_20201122-125419.png

Ungepata mwenye sura pana na nyembamba, ungepata mwenye makalio makubwa na ya kati na ungepata pia mwenye madogo ilimradi kuzingatia, matakwa ,vigezo na hisia za mteja.

Mdoli huyu anaongea kama mwanadamu halisi, anaweza kukumbuka siku yake ya kuzaliwa , ana uwezo wa kumshawishi mwanaume kufanya mapenzi kwa pozi na maneno tamanishi ya kumtoa mwana nyoka na ***** pangoni.

Pia ana uwezo wa kukataa kufanya mapenzi endapo atachukizwa au asipopata hamu na hamasa ya kufanya hivyo.
Screenshot_20201122-073701.png

Ana Ngozi laini mno, nyororo kama ya mwanadamu ...nyororo mithili ya sufi ya kondoo pamoja na maungo yaliyoundwa kiutaalamu na ubobezi wa hali ya juu pia yangeweza kutatanisha hisia za mwanaume aliekamilika.... huwa wazuri mno wa sura japo ni fake.
Screenshot_20201122-073724.png

Atafanya mbwembwe zote na mbilinge, wakati wa kufanya mapenzi kama inavyokuwa kwa mwanamke halisi kama vile kugugumia kwa hisia na kufikia mshindo (kilele)
Screenshot_20201122-125534.png

Mmiliki wa mdoli huyo alipata kusema mdoli huyo ni bora kuliko mwanamke halisi lakini alipingwa vikali na wanaopinga midoli hio wakidai kusema hivyo ni kwenda kinyume na haki za wanawake.
Screenshot_20201122-073757.png

Midoli hiyo imetengenezwa mingi zaidi ili kuwapa nafasi watu wenye uraibu nayo kuweza kujipatia na kutuliza haja zao.

Wanaamini wanatengeza kwa lengo la kupunguza msongo wa mawazo kwa wale wapendao kwa wale wakosao wanawake basi huleta ladha tofauti, japo watu wa imani za dini hupinga na kusema kufanya hivyo ni kwenda kinyume na matakwa MUNGU baba.
Screenshot_20201122-125432.png

Alias Brick alikuwa wa kwanza kununua mdoli huyu kwa pesa zenye thamani ya Tshs millioni 33 na laki 9.
Screenshot_20201128-080600.png

Na kwa nchi zilizoendelea hii kampuni zipo nyingi zinazofanya biashara hii kwa kuuza na kokodisha.
Screenshot_20201122-125333.png

.

DA'VINCI XV
 
Ila madoli hayaombi pesa braza, hayakupigii kelele ukirudi toka kazini huoni kama ni suluhu mbadala kwa hawa wanawake wanaotupa ma stress kila kukicha.
Aah! Mdoli ni mdoli mkuu.. upo na limit
Demu wa live pisi kali.. aaah!.. zina raha hizo midoli ni sawa na punyeto tu 😀😀
. Ni sawa wametuundia vyombo maalumu vya kupigia punyeto
 
Hahah hawezi kufikia efficiency ya binadamu ila ana faida zake anazomzidi mtu wa kawaida.
1.Hakeri
2.Hachoki
Hiyo hapana, labda dishi liwe limeyumba .. raha ya sex uwe na mtoto kwa bed story kidogo huku mnasikiliza mziki safii na ka wine kwa mbali mtoto analegea mdogo mdogo na ka taa flani hivii aah acha kabisa
 
Back
Top Bottom