Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,173
- 190,744
Hahahaha unafua chuma sio 😝😝😝Ni kufua kwa mkono baada ya kukosa Washing machine.
😀 😀
Hahahaha unafua chuma sio 😝😝😝Ni kufua kwa mkono baada ya kukosa Washing machine.
😀 😀
Aah! Hivi raha asieee.. hasa uwe na pisi kali class A+.. upo na chombo hotel ya nyota tano.. ka wine kapo pembeni ya jakuzi .. na mua maua mekundu ndani ya kazi huku mtoto kaukalia kidogo 😀😀😀Vijana mnapenda raha kmmmk hakika pepo itakuwa mtihani😂
Huu uchambuzi unaashiria utachelewa sana kujenga mdogo wangu.😂 Dah.!Aah! Hivi raha asieee.. hasa uwe na pisi kali class A+.. upo na chombo hotel ya nyota tano.. ka wine kapo pembeni ya jakuzi .. na mua maua mekundu ndani ya kazi huku mtoto kaukalia kidogo 😀😀😀
Habari za pepo ni ngumu kweli.. huko kwenda ni neema za Mungu tu sio rahisi hata kidogo.. kuna mwamba wakati Yesu yupo msalabani aliponea pale pale.. ni neema tu kwenda peponi na sio matendo
😃😃😃😃 haya mambo yana raha aisee.. mtu ata ya diss kama anakula malapulapu.. ila tulio bahatika kuti.a mademu viwango aah! Sio kazi rahisi kujenga wala kuoa.. ni mtihani haswaa..Huu uchambuzi unaashiria utachelewa sana kujenga mdogo wangu.😂 Dah.!
Hahahahah kweli kabisa 😂 ila weka speed governor ukifika 30 tafta mke uoe😃😃😃😃 haya mambo yana raha aisee.. mtu ata ya diss kama anakula malapulapu.. ila tulio bahatika kuti.a mademu viwango aah! Sio kazi rahisi kujenga wala kuoa.. ni mtihani haswaa..
Nimeisha puyanga huko 30 kitambo.. naitafuta 40.. mtoto makali unamywa mate yenye wine 😀😀😀😀 mgongo soft.. room lina mvuke amazing na ka marafishi flani hivi.. ngoja nianze safari nikasake pesa mie 😀😀😀Hahahahah kweli kabisa 😂 ila weka speed governor ukifika 30 tafta mke uoe
Hahahah zingatia vibao vya 50KPH mzee.Nimeisha puyanga huko 30 kitambo.. naitafuta 40.. mtoto makali unamywa mate yenye wine 😀😀😀😀 mgongo soft.. room lina mvuke amazing na ka marafishi flani hivi.. ngoja nianze safari nikasake pesa mie 😀😀😀
Unambaka tu kwisha habari yake, haiwezekani utoe milioni 33 halafu alete poziUnasema ni Sanamu ila halina tu uhai,halafu hapo hapo unasema linaweza kukataa kufanya mapenzi kama halijisikii! kitu ambacho hakina uhai kitajisikiaje? kitakuwaje na feeing? huwezi kua na feeling kama huna uhai.
Tunakoelekea wataanza kuyapa uwezo wa kuzaa....Artificial reproductionHuyo akwambii baby nikwambie kitu or Mara sioni siku zangu hizo habari Hakuna
Hapo darisalade kashafika?
Ni swala la mda tuTunakoelekea wataanza kuyapa uwezo wa kuzaa....Artificial reproduction
Linakuwa na yai la kike kwa ndani na mechanism ya fuko la uzazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah yaje bongo tubalaaa babilai
Usisahau Elizabeth Michael ni dada ake mtu,mtoto wake mtu,Mpenzi wake mtu.Wanaweza kuniyengenezea mmoja anayefanana kila kitu na Elizabeth Michael