TEKNOLOJIA YA ROBOTI: midoli ya kufanyia mapenzi

TEKNOLOJIA YA ROBOTI: midoli ya kufanyia mapenzi

Sababu pekee huyu mdoli hawezi kunifaa ni bei na nikimwaga wa kumsafisha itabidi niwe mimi. Na hiyo kazi ya kulibeba kulipeleka bafuni kusafisha bao langu ni sawa na puchu tu.

Now nawezaje lipia 33M kwa ajili ya puchu?

Wadau wanasema haliombi hela. Hivi mtu anayetoa 33M kwa ajili ya mdoli anaweza hofia kuombwa hela?
Mtu anayetoa M33 anahofia stress
 
Oya haya madude tangu myaanze kuyafungulia uzi humu inamaana hakuna pedeshee aliye request hii product hapa bongo?
Huku mbunye ngumu ngumu inaonekana,maana kuna mzigo ulikamatwa huko mkoani wa Dildo zilizochongwa kwa mbao.
 
Nimekuwa nikipitia makala nyingi za tekinolojia mbalimbali katika nyakati hizi za karne hii, ukiangalia kwa makini makala nyingi zinaenda kinyume na 'Naturality' , mfano mzuri ni kuhusu project ya bwana mkubwa Elon Musk, anajitahidi sana tena mno kutushangaza kwa uwezo wake mkubwa wa akili kuweza kubuni teknolojia ambazo zitasaidia kwenda kuishi sayari nyingine mfano, Mars. jambo la kujiuliza ni kuwa je Mwenyezi Mungu wakati anaumba ulimwengu kwanini asingeweka binadamu kilasayari? Tunakuja kuona kwamba , aliona ni vema sana kutuweka Duniani ambapo tutaishi na kuzaliana. Tukija kwenye suala la 'Harmony doll' au wengine wanasema midoli ya Mapenzi hii moja kwa moja inajieleza ni kwa namna gani watu wanaona uumbaji wa Mungu haufai(wanamchallenge MUNGUU) kwa kutengenezea vitu vya kuwarahisishia binadamu kufanya dhambi (Musturbation). all in all this is the sign of ANTICHRIST.

Nimewaza tu.🙂🙏🙏🙏🙏
 
Tumefika huku tayari na bado kuna mengi yanakuja mbona wengine watatamani wahame humu duniani
 
Nimekuwa nikipitia makala nyingi za tekinolojia mbalimbali katika nyakati hizi za karne hii, ukiangalia kwa makini makala nyingi zinaenda kinyume na 'Naturality' , mfano mzuri ni kuhusu project ya bwana mkubwa Elon Musk, anajitahidi sana tena mno kutushangaza kwa uwezo wake mkubwa wa akili kuweza kubuni teknolojia ambazo zitasaidia kwenda kuishi sayari nyingine mfano, Mars. jambo la kujiuliza ni kuwa je Mwenyezi Mungu wakati anaumba ulimwengu kwanini asingeweka binadamu kilasayari? Tunakuja kuona kwamba , aliona ni vema sana kutuweka Duniani ambapo tutaishi na kuzaliana. Tukija kwenye suala la 'Harmony doll' au wengine wanasema midoli ya Mapenzi hii moja kwa moja inajieleza ni kwa namna gani watu wanaona uumbaji wa Mungu haufai(wanamchallenge MUNGUU) kwa kutengenezea vitu vya kuwarahisishia binadamu kufanya dhambi (Musturbation). all in all this is the sign of ANTICHRIST.

Nimewaza tu.🙂🙏🙏🙏🙏
Wenzetu wangekua wanamitazamo kama yako leo hii tungekua bado zama za mawe uko, kungekua hakuna maendeleo yoyote kwa hofu kwamba Mungu hato penda. Niliwai soma sehem wakati ndege zinanza kuruka kwa mara ya kwanza, wafia dini walipinga sana kwa nisemo ya Mungu akutuumba tupae angani!. Acha watu wafanye wanachoweza mkuu
 
Sasa nani analisafisha baada ya kufukunyua.Hizo halisi zinatoa harufu je hili la kukodisha itakuwaje?
 
Kuna jamaa kaamua aoe doli kabisa..dunia hii 😀😀
 
Back
Top Bottom