Teknolojia Mpya kutoka Japan ya kupunguza ulaji wa Mafuta kwenye Gari

Ajabu sana huko Japan inakotengenezwa Amazon.co.jp wanasema "not currently available", lakini huku Tanzania wewe unafanya biashara.

Hata eBay, duka la adpower-global wamewauzia watu siyo zaidi ya 3 (watatu), na hawana stock.

Usisumbuke bidhaa zipo Tanzania,zipo Kenya na kwingineko. AdPower wameamua kuondoa biashara mitandaoni na kufanya B2B kwa sasa. mojawapo ni kupunguza product immitations . Ni vyema ukajaribu product then ukaja kuhadithia hapa product efficacy yake.
 
Amazon mtu yeyote anaweza kuuza chochote.

Hiyo link ya UN ni kwa product tofauti (spray), siyo hiyo sticker.

Kama hii teknolojia inakubalika sana, kwanini used cars karibia yote kutoka Japan hayana hii sticker kwenye air intake? Jibu ni,: Wajapani wenyewe hawajaikubali na ndiyo maana utaona kwenye website ya kampuni marketing ipo targeted nchi za dunia ya tatu kwenye wajinga wengi.
Yes ni product mpya hii na ambayo ipo sokoni mwaka wa tatu by now.

Actually fahamu tu jambo moja kuhusu Japan.Product zao nyingi hawaleti huku,kwasababu nyingi kama Product immitations,Kaizen strategy of not producing for mass(chinese way) ,kuzalisha kwa nchi yao pekee kwasababu ya bei na ubora wao . Hebu tafuta hii tafuta spares na other vehicle products brand new direct from japan na uje utupe mrejesho hapa. Mfano agiza 1HZ 4.2 Landcruiser from Toyota japan utapata mrejesho
 
Amazon mtu yeyote anaweza kuuza chochote.

Hiyo link ya UN ni kwa product tofauti (spray), siyo hiyo sticker.

Kama hii teknolojia inakubalika sana, kwanini used cars karibia yote kutoka Japan hayana hii sticker kwenye air intake? Jibu ni,: Wajapani wenyewe hawajaikubali na ndiyo maana utaona kwenye website ya kampuni marketing ipo targeted nchi za dunia ya tatu kwenye wajinga wengi.
Labda upate uelewa kwanza,used cars is for export. Huweki Adpower kwa gari mpya bali gari ambazo tayari mfumo wake umeanza kuchakaa(chakavu). Huwezi kuona AdPower kwa sasa ila nadhani utaziona very soon kwasababu hawa wana awards japan. Na japan wana reviews nyingi na za kutosha. Its a new inventions so its need time to take off and be all over,same as the first entry of every technology..its starts as threat,....

Hata hii spray hawauzi mitandaoni ,you order in bulk through B2B thats a market channel for them.
 
Usisumbuke bidhaa zipo Tanzania,zipo Kenya na kwingineko. AdPower wameamua kuondoa biashara mitandaoni na kufanya B2B kwa sasa. mojawapo ni kupunguza product immitations . Ni vyema ukajaribu product then ukaja kuhadithia hapa product efficacy yake.
Wanauza hiyo bidhaa kwenye website yao wenyewe. eBay wana presence lakini hawana stock na wamewauzia watu 3 tu hadi sasa. Amazon.jp.co wamewauzia watu wachache sana na product status ni "currently unavailable". Kama una product nzuri na innovative, itajiuza. MImi naona hii ni kama zile motor chemicals Liqui Moly, Total, na kampuni kibao wanauza kwa gharama kubwa wakidai zita improve hiki na kile, lkn at best it's a total waste of money.
 
Wanauza hiyo bidhaa kwenye website yao wenyewe. eBay wana presence lakini hawana stock na wamewauzia watu 3 tu hadi sasa. Amazon.jp.co wamewauzia watu wachache sana na product status ni "currently unavailable". Kama una product nzuri na innovative, itajiuza. MImi naona hii ni kama zile motor chemicals Liqui Moly, Total, na kampuni kibao wanauza kwa gharama kubwa wakidai zita improve hiki na kile, lkn at best it's a total waste of money.
Kama kweli unataka ku-prove kwa watu kwamba ni waste of money, then prove it kwa kutumia wewe mwenyewe ... Tumeshakuelezea kuwa adpower-global wameacha kuuza online wanafanya b2b kwa sasa, still unashindwa kuelewa.

Naomba ulete proof hapa kwa kujaribu wewe mwenyewe na sio maneno tu.
 
Wanauza hiyo bidhaa kwenye website yao wenyewe. eBay wana presence lakini hawana stock na wamewauzia watu 3 tu hadi sasa. Amazon.jp.co wamewauzia watu wachache sana na product status ni "currently unavailable". Kama una product nzuri na innovative, itajiuza. MImi naona hii ni kama zile motor chemicals Liqui Moly, Total, na kampuni kibao wanauza kwa gharama kubwa wakidai zita improve hiki na kile, lkn at best it's a total waste of money.
More proof ; AdPower-Global wanauza kwa other Businesses.

Zenplus Japan
- https://zenplus.jp/adpower-diesel-for-diesel-vehicles-patented-just-stick-it-on-the-engine-air-c/p/mmstore%3A16e81664-4f9b-425f-9a80-b6ad6c418afd

Shopee Singapore
- https://shopee.sg/AdPower-Car-fuel-...allation-Made-in-Japan-i.423790442.8251981999
 
Kama kweli unataka ku-prove kwa watu kwamba ni waste of money, then prove it kwa kutumia wewe mwenyewe ... Tumeshakuelezea kuwa adpower-global wameacha kuuza online wanafanya b2b kwa sasa, still unashindwa kuelewa.

Naomba ulete proof hapa kwa kujaribu wewe mwenyewe na sio maneno tu.
Screenshot kutoka website ya adpower-global

Just Stick it ! Maintaining engine performance and fuel saving.

Untitled.png
 
Nikiamua kununua bora niagize directly kutoka Japan. Ni much cheaper plus shipping is free.
 
AdPower inawezekana una product nzuri ila unashindwa kujieleza. Oxygen is at the centre of everything in Engine, the lower the oxygenated air-intake the lower the combustions and carbon-fouled plug. walichofanya hao jamaa wame deal na Oxygen tu maana wanajua Quality ya mafuta in third world ni chini, na magari mengi yanaenda small routes mijini ambayo ni leading cause ya kuunguza plugs na kula mafuta .So the technology is just "air ionization" using magnets technology tu . Jifunze kuelezea mambo magumu kwa lugha nyepesi.All the best
 
Nimeagiza direct from adpower-global kutoka Tokyo, Japan leo nimepata mzigo.

Huwezi amini nimeagiza tarehe 22 Februari leo nimepata mzigo kupitia posta na nimelipa elfu 48 tu kwa sticker moja.
EAC496AE-84FE-4140-B19B-BD05825308D7.jpeg


E7B3E7C7-4341-4BB4-ABA4-0EA5303BE0E6.jpeg


73E225E3-635D-41E9-A6BA-EAD482B0AB89.jpeg
 
The laminate seems working for Diesel Generators and my level 1 Diesel emmision car 😂.Savings has been somewhat substantial. There is a need to see if it can provide same magic for up to 2 years as claimed by distributors. Otherwise price is scary.
 
Back
Top Bottom