AdPower Tanzania
Member
- Feb 4, 2022
- 15
- 17
- Thread starter
- #21
Usisumbuke bidhaa zipo Tanzania,zipo Kenya na kwingineko. AdPower wameamua kuondoa biashara mitandaoni na kufanya B2B kwa sasa. mojawapo ni kupunguza product immitations . Ni vyema ukajaribu product then ukaja kuhadithia hapa product efficacy yake.Ajabu sana huko Japan inakotengenezwa Amazon.co.jp wanasema "not currently available", lakini huku Tanzania wewe unafanya biashara.
Hata eBay, duka la adpower-global wamewauzia watu siyo zaidi ya 3 (watatu), na hawana stock.