Teknolojia gani kubwa ungependa itokee duniani

Pia natamani redio zitumie satelite kama vingamuzi ili kusiwe na haja ya kufunga antena na minara kama ilivyo sasa
Satellite radio zipo, kule USA kuna makampuni yanatoa huduma za satellite radio, kuna xm satellite na Sirius satellite radio station.

Check link:wwwsiriusxm.com
 
Natamani iije technology ya kumfanyia binadamu factory reset kama Simu, au computer.
MTU akiwa kichaa, au akaugua ugonjwa mbaya, au tukagundua ana mawzo mabaya tunamfanyia factory reset anakuwa Mpya kila kitu kama Mtoto aliyezaliwa upya.
Alafu tuna install upya mambo tunayotaka awe nayo.

Hii itasaidia kuwafanyia factory reset magaidi na watu wengine wabaya na kuwafanya wachungaji, au watu kama madocta na manesi.
Pia mtu akikaribia kufa tunamfanyia factory reset then tunamfanyia installation upya.
Mind programming na DNA hacking
 
Kila kitu kiwe automated.

Unafungua kampuni na kuajiri maroboti yakufanyie kazi.
Madhara
Ajira zisingekuwepo, hivyo kupelekea kukosa ubunifu wa kazi.
Taifa lingejaa wazurulaji wasio na wajibu wa kufanya kazi
 
Mungu katuficha mengi San
Katuwezesh kuitumia elimu kutengeneza vitu vyenye uwezo mkubwa kam ndege kupaa,meli kuelea kweny maji bt hajatak kutupa uwez wa kujitengeneza na kujimodify sis kam kuweza kupaa au ata kuwa na speed kam ya mwanga
The power of God is within you. Nguvu zipo ndani yako.
 
Nafikiria teknologia ambayo hatutatumia simu au device inayofanana nayo. Unakuwa na chip ambayo ukizaliwa tu inakuwa implanted and inaunganisha mawasiliano ya mwili wako wote na pia kukuwezesha kuwasiliana na wengine. Kwa mfano, nikitaka kuwasilana na mke wangu aliyepo Ulaya ninachotakiwa ni kumuwaza tu na papo hapo systems zinamtumia ujumbe na anakuwa na uwezo wa kujua kile ninachowaza au kutaka kumwambia na yeye 'anajibu' (i.e. nakuwa na uwezo wa kutafsiri exactly kile anachofikiri).
kwa siye tunaowaza watu wengi kwa wakati mmoja server itakua overloaded.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
mimi natamani kue na kichambio
nikikata gogo/kunya chenyewe kinichambe bila mimi kushika mavi
 
Wakuu kama mnavojua kuna technology nyingi sana ambazo kwa miaka ya nyuma nadhani hazikuwepo lakini leo hii zipo...Je kwa upande wako unatamani teknologia gani mpya uishuhudie....

Je mfano siku ukaweza kumrushia mwenzako chaji kwa whatsapp?? Au siku ukaweza kudownload chakula kwenye internet???
Ya kuing'oa ccm
 
Aliuwawa aliyetengeneza engine ya hivyo miaka mingi iliyopita.
Injini za maji zipo tayari check Google.
Japan kuna Gari mtaani kabisa linafanyiwa majaribio. Kinachotkea maji yanachakatwa kutengeneza Hydrogen Ions ambazo zinatumika kucharge batri zinazoendesha motor.

Hii Mkuu ndani ya miaka kumi itakuwa kitu cha kawaida.
 
Hiyo ipo zamani kama mvua inanyesha kwenye movie na wewe unahisi kabisaa, na kama ni ngumi inakupata usipokwepa (kidding)

Fatilia taarifa za kama week mbili zilizopita china wana movie theathre ambazo utazikia harufu ya kitu wakati unaangalia movi. au nawe unaweza kuwa ndani hiyo movi. Kama vile kwenye computer game unapom control character wako ila hapa unakuwa wewe mwenywe.
 
Wakuu kama mnavojua kuna technology nyingi sana ambazo kwa miaka ya nyuma nadhani hazikuwepo lakini leo hii zipo...Je kwa upande wako unatamani teknologia gani mpya uishuhudie....

Je mfano siku ukaweza kumrushia mwenzako chaji kwa whatsapp?? Au siku ukaweza kudownload chakula kwenye internet???

Hiyo ya kudownload chakula kwenye internet huenda majini ya zamani yalikuwa tanaitumia.Maana kuna habari za watu kusikia harufu ya wali wa pilau mashuleni zilitamba sana hapo 90s.
 
yaani hapa mtu akisoma hii thread bas mawazo yanahamia kwa kuwawaza wazungu kuwa waje na hizo new ideas tukiamini sis hatuwez,...
iknow we can sisi wenyewe chamsingi ni kukaza mkanda na kujua kila kitu kinawezekana tukafanya wonders na kutengeneza vitu vyetu wenyewe vya ndani.na kujenga historia tofauti......
tufikili kwa tofauti,..hivi mtu ushawahi hata kuwaza kutengeneza kitu au kubuni kitu cha tofauti ambacho hakipo duniani???????
hapo ndo unapokuja ubunifu na udadisi...binafsi nipo ktk udadisi kubuni kitu ambacho hakipo duniani na hamna mtu aliyewaza kuwepo kwahiko kitu na muda simrefu nkiwa tyr ntakuja hapa jukwwaani kwanza,....
kupata baraka za wadau......
think great

Hakuna kipya chini ya jua.
 
Back
Top Bottom