Dogo wa kishua uyo na kasomea Havard univ.Now he's a Mama'schildHuyu chalii alikuwa na moto sana, namuona kama uhuni wake anaigiza tu ila sio gangsta kutoka moyoni!
Iz Fcukin' Trey way..Mbona ngoma za mwana ni kali tu?labda kama hufuatilii na hupendi Trap music,Ebu sikiliza Fefe,Gumo,Stoopid,Bebe alaf utanambia.Tekashi 69..huyu dogo alikuwa anakuja moto sana na muziki wake wa kipuuzi puuzi tu
Hizo titles tu zinaweza kukufanya uskip play list yoteIz Fcukin' Trey way..Mbona ngoma za mwana ni kali tu?labda kama hufuatilii na hupendi Trap music,Ebu sikiliza Fefe,Gumo,Stoopid,Bebe alaf utanambia.
Aaah wewe ata sikushangai Bablai coz hupendagi trap music At all,Wewe tuongelee kina Pusha T,Lil Wayne,Slim Shady,Kendrick Lamar ndo tunaenda Yechu.Hizo titles tu zinaweza kukufanya uskip play list yote
50 a take care of his son firstNi kweli 50 alimpa nafasi kubwa sana naona alimchukulia kama mdogo wake! Ila jamaa huko atakuwa kafinywa sio kidogo mpaka kaona bora a-snitch tu lolote na liwe!!
hamna kitu hiyo ya R.kelly imechomekewaa tu aliyetajwa mpaka sasa ni card b na huyo johnR.kelly hajamaliza kiporo chake tayari amewekewa msosi mwingine mezani nao anatakiwa ale
Hao ndio wale internet gangstas tu wanapigana kwenye camera nyuma ya mabaunsa waoDogo wa kishua uyo na kasomea Havard univ.Now he's a Mama'schild
50 lazima amteme dk sifuri anakusnitch huyo!50 a take care of his son first
Hahahaha Iz Fcukin' Trey way King of New York.Huyu jamaa nyimbo zake za hovyo huwa sivumiliagi kuzisikiliza hata kidogo
he really apologize for the bullshit but anahatari kubwa pindi atakapotoka nine trey blood gang ndio waliomlea kundi hili ni kubwa kuanzia USA, Mexico, Puerto RicoWatu marufu marekani hasahasa wasanii wa muziki kama 50 cent wameshambulia vikali msanii mwenzao tekashi 69 ambae yuko rumande uku akisubiria hukumu ya miaka 47 ndani. Sasa swala limekuja baada ya msanii huyo kukubali kusnitch genge lake na kutaja vitendo vyote vihalifu amabavyo walikuwa wakifanya kundi lake la nine trey gang na ukweli wote kuhusu kundi ilo ili aweze kupata plea deal yani apunguziwe kifungo cha miaka.Pia kuna tetesi msanii huyo amefika mbali kuwataja adi james john na cardi b kuwa wanahuska na kundi ilo la kihalifu marekani.Nieleweke kidogo kusnitch marekani kwa jamii nyeusi ni kosa kubwa sana hasa kwa wahuni ambapo msanii huyo awali alikuwa akiishi maisha ayo na aliwezakusaidia ilo kundi kuwanunulia vitu kama silaha na kadhalika....Je msanii huyo kavunja miiko ya kuwa gangsta na uhanahipop au yuko sahh ili kuepuka miaka mingi ndani?...tunapochagua uhuni lazima tujue na matokeo yake badae...hawa wakishua wanaojifunza uhuni baadae wanasahau kuwa vitendo ivi vina mwisho wake ndo lilimtokea bwana mdogo.....
Pia tukumbuke kuwa bobby shirmuda anaonekana shujaa kwa kitendo alichokifanya kutosnitch wana na kukubali kula miaka ya wenzake ndani ambapo msanii huyu anategemewa kutoka mwakani kama shujaa huku tekashia akitegemea kutoka kama yuda na kutengwa na jamii yake ya uhuni na asipopata ulinzi mzuri anauliwa