Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,863
Mkombozi haijaeleza kuhusu wanabodi wake waliopokea kitita, umesahau na wametajwa?
Kama walilipwa kwa njia ya TISS bado sioni walipokosea kwa mujibu wa sheria, sheria inasema pesa zaidi ya 15M transactions zake zinatakiwa kufanyika electronically na ndio maana PAC na CAG and may be PCCB waliweza kujua nani kaingiziwa ngapi kutoka kwa JR, shida iko hapo Stanbic wao walifanya manually and this is why huwezi jua nani alipata ngapi. Nimeandika haya nikiwa ninauhakika kwamba haya unayaelewa vizuri sana lakini kwakua wewe hua na aleji na kanisa hasa la RC umejifanya kupindisha ufahamu.