Tegeta Escrow: Stanbic Bank yatoa Press Statement

Tegeta Escrow: Stanbic Bank yatoa Press Statement

Makinda-Zito ebu tusaidie formulation nzuri nitakuwa mgeni wa nani
Zito-Mi nimeshachoka
 
Atoke tu"
tena hana mchango wowote kwenye nchi yetu zaidi ya majanga tu aliyo tuachia.
 
Fukuza-fukuza iliyofanyika hapo stanibic bank ilishatupa majibu kitambo sana.
 
Mkombozi haijaeleza kuhusu wanabodi wake waliopokea kitita, umesahau na wametajwa?

We ni kama una madudu kichwani, hivi wewe ukitoa pesa zako ukawapa marafiki zako benki inaweza kueleza kwa nini umewapa marafiki zako? Umesikia Mkombozi ni wasaidizi wa VIP? Halafu jifunze kuhoji vitu ukiwa na evidence, ni member yupi wa bodi ya Mkombozi ambaye kapewa pesa? Jaribu kuficha ujinga na tujadili vitu vya msingi hapa.
 
..benki kama hizi zinatia hasira....ndio maana kuna wakati majambazi wanajichukulia sheria mkononi kwa kuzivamia na kukwapua mabilioni ya fedha kwa nguvu....ama wafanyakazi wao kuchonga michongo humo humo kuwaibia...maana watu wanajua huwa kuna fedha chafu zinapitishwa kwenye mabenki haya....Tutegemee benki kama hizi kuzidi kuvuta majambazi kuziiibia.....ni kwa matendo yao....
 
We ni kama una madudu kichwani, hivi wewe ukitoa pesa zako ukawapa marafiki zako benki inaweza kueleza kwa nini umewapa marafiki zako? Umesikia Mkombozi ni wasaidizi wa VIP? Halafu jifunze kuhoji vitu ukiwa na evidence, ni member yupi wa bodi ya Mkombozi ambaye kapewa pesa? Jaribu kuficha ujinga na tujadili vitu vya msingi hapa.

Hukusikia tamko lao? wamekuwa mawakili wa VIP wanasema ni pesa halali wakati bunge wanasema ni pesa chafu.

Hapo sasa!
 
Aisee...'mkulu kulu' anausika....kwa kupitishiwa mkwanja wake huku.
 
Hukusikia tamko lao? wamekuwa mawakili wa VIP wanasema ni pesa halali wakati bunge wanasema ni pesa chafu.

Hapo sasa!

Bunge ni vilaza vichwani mwao kama vilaza wengine. Ndio maana baada ya Mkombozi kutoa tamko haraka haraka Bunge na PAC yao wakabadilisha maazimio. Huoni vichekesho pesa chafu kulipwa kodi? TRA wanapokea Bilioni 38 kama kodi kutoka kwenye pesa chafu. Only in Tanzania
 
kosa ambalo naona Stanbic wamefanya pengine ni kurusu hele hizo kuchukuliwa kama Cash zaidi ya kiwango cha cash kinachotakiwa, vinginevyo wangefanya TISS wangekuwa clean kama wenzao Mkombozi.

kwenye ile taarifa ya Mkombozi wanasema walipokea TISS ya Tzs 73.5 bil. Kutoka Stanbic
Regulatory(BOT) tusubiri atafanyaje?

Kamati ya Mwakyembe juu ya Richmond ilikuwa so precise kuliko hii ya PAC.
wamegoma kutueleza wamiliki wa Simba Trust na kumuingiza Masele asiyehusika
 
1. Stanbic kwa kutotaja majina wala kuweka ushahidi wa hicho wanachojaribu kukanusha, basi wamethibitisha kuwa familia ya Rais wa nchi pamoja na wakuu wengine (Pinda) ndio waliochota hela kupitia Stanbic.

2. Stanbic wameamua kula na mafisadi hivyo sisi tusio mafisadi tujiondoe haraka kwenye benki hiyo.

3. Wale wabunge wa kifisadi (mf. Assumpta Mshama) waliotaka hiyo statement ya Stanbic iwekewe hadharani ni wazi watapoteza nfasi zao ndani ya CCM kwani walivuka mipaka ya kutumika kwao.

4.Wabunge makini (mf. John Mnyika) waliotaka Bank Statement ya Stanbic iwekwe bayana ni budi wakaze uzi kuhakikisha tunawajua, tunawakamata na kuwafilisi wahusika wote wa Escrow kupitia "kichaka cha Stanbic"
 
Ki ukweli taarifa ya stanbic iko shallow sana hata haiendani na hadhi ya benki hiyo wamekurupuka na hii inathibitisha kuwa walihusika na utakatishaji wa fedha haramu
 
1. Stanbic kwa kutotaja majina wala kuweka ushahidi wa hicho wanachojaribu kukanusha, basi wamethibitisha kuwa familia ya Rais wa nchi pamoja na wakuu wengine (Pinda) ndio waliochota hela kupitia Stanbic.

4.Wabunge makini (mf. John Mnyika) waliotaka Bank Statement ya Stanbic iwekwe bayana ni budi wakaze uzi kuhakikisha tunawajua, tunawakamata na kuwafilisi wahusika wote wa Escrow kupitia "kichaka cha Stanbic"

kwa sheria za usimamizi wa mabenki, taasisi za fedha zitatoa taarifa za wateja kwa Bot.PCCB.polisi na mahakama tu.

kwa nini watanzania tusividai vyombo hivi kuwajibika kutupatia taarifa za miamala ya stanbic?
 
Kwa wanaofahamu mamabo ya PR communiques, kutoa kitaarifa kifupi hivi na ambacho hakina detail ni kama kujua kwamba umefanya makosa sasa ukitaka kwenda kwenye details utajishitaki mwenyewe.

Stanbinc walitakiwa kuja na taarifa yenye kujibu masuala moja baada ya jingine, au kama kuna sababu ya kutofanya hivyo waieleze.

Tatizo hakuna wa kuwabana.
 
Kama ni halali yule mganda aliyehusika na hizo transactions mbona mlim depot?
 
Wewe utakuwa na akili nyingi sana kama mimi, nilikuwa najiuliza hivyo hivyo. Kwanini tusianzie BOT kwanza, kwa sababu kama BOT walizitoa hizo kwenda benki nyingine maana yake zilikuwa safi, kosa ambalo naona Stanbic wamefanya pengine ni kurusu hele hizo kuchukuliwa kama Cash zaidi ya kiwango cha cash kinachotakiwa, vinginevyo wangefanya TISS wangekuwa clean kama wenzao Mkombozi.

Mkuu
hakuna sheria inayosema Bank isilipe cash.
 
Back
Top Bottom