Msaada: Malipo ya deni langu Stanbic Bank

KingPower

JF-Expert Member
Jun 8, 2015
1,099
1,747
Habari za wakati huu Wana JF,

Bila kupoteza muda twende kwenye mada moja kwa moja. Nilikopa bank ya STANBIC mwaka huu kupitia salary slip.

Na mshahara wa mwezi uliopita deni lao halikuonekana kwenye salary slip yangu (yaani hawakukata) sijui kosa la mwajiri au nani sijui?

Nimekuwa nikipokea simu kwa Loan officer wao, na akinitaka niweke hela kwenye account ya deni langu, na nilikua sijui kuhusu hili ili jambo mpaka nilipo angalia salary slip.

Nimemwambia afatilie kwanza kwa muajiri then anipe update naona mpaka sasa bado.

Na kunipa vitisho kwamba nitakuwa sio mkopaji nzuri na wataniweka kwenye list mbaya.

Sasa najiuliza kosa langu lipo wapi?

Naomba ushauri wenu juu hili bado nawatafakari.
 
Kwani wakati unapewa mkopo si mlikubaliana na Mwajiri ndiyo angekuwa anapeleka marejesho kwa niaba yako kwa kukukata kwenye mshahara.

Waambie waache upuuzi na wafanye mawasiliano ya kiofisi na Mwajiri wako
 
Habari za wakati huu Wana JF,

Bila kupoteza muda twende kwenye mada moja kwa moja. Nilikopa bank ya STANBIC mwaka huu kupitia salary slip.

Na mshahara wa mwezi uliopita deni lao halikuonekana kwenye salary slip yangu (yaani hawakukata) sijui kosa la mwajiri au nani sijui?

Nimekuwa nikipokea simu kwa Loan officer wao, na akinitaka niweke hela kwenye account ya deni langu, na nilikua sijui kuhusu hili ili jambo mpaka nilipo angalia salary slip.

Nimemwambia afatilie kwanza kwa muajiri then anipe update naona mpaka sasa bado.

Na kunipa vitisho kwamba nitakuwa sio mkopaji nzuri na wataniweka kwenye list mbaya.

Sasa najiuliza kosa langu lipo wapi?

Naomba ushauri wenu juu hili bado nawatafakari.

Kosa lako umetoa pesa yote mpaka ya marejesho kabla bank husika hawajakata

Kila bank inaweka muda au taarehe ya kukata maresho

Sikuzote marejesho hayaingii kene salary slip

So ukiwahi kupata mshahara usitoe wote mpka bank wakate marejesho
 
Habari za wakati huu Wana JF,

Bila kupoteza muda twende kwenye mada moja kwa moja. Nilikopa bank ya STANBIC mwaka huu kupitia salary slip.

Na mshahara wa mwezi uliopita deni lao halikuonekana kwenye salary slip yangu (yaani hawakukata) sijui kosa la mwajiri au nani sijui?

Nimekuwa nikipokea simu kwa Loan officer wao, na akinitaka niweke hela kwenye account ya deni langu, na nilikua sijui kuhusu hili ili jambo mpaka nilipo angalia salary slip.

Nimemwambia afatilie kwanza kwa muajiri then anipe update naona mpaka sasa bado.

Na kunipa vitisho kwamba nitakuwa sio mkopaji nzuri na wataniweka kwenye list mbaya.

Sasa najiuliza kosa langu lipo wapi?

Naomba ushauri wenu juu hili bado nawatafakari.
Ndio usipokatwa ni jikumu lako kulipa, unless mwajiri akukate halafu usipeleke, ila kama hukukatwa tafuta hela walipe sio vizuri kuwa blacklisted na CRB kwa viela vidogovidogo sepa hata na M500 hapo tutakuelewaa
 
Kosa lako umetoa pesa yote mpaka ya marejesho kabla bank husika hawajakata

Kila bank inaweka muda au taarehe ya kukata maresho

Sikuzote marejesho hayaingii kene salary slip

So ukiwahi kupata mshahara usitoe wote mpka bank wakate marejesho
Mkuu sijatoka hela yote, na nilienda Bank, rejesho lao ni 40490,

Nikawa muungwana nikaweka 50K kwenye account yao,

Ajabu sasa, wamekata zaidi ya 30k na imebaki 20K kwenye account yangu, wananipigia tena wananiambia niongeze 20K nyingine,

Hii account yangu nilifungua miezi 5 iliyopita kwenye bank yao

Na maintenance fee yao kwa mwezi ni 3K pia niliacha 10K kwenye account yangu, iweje wakate zaidi ya 30K alaf niongeze tena hela?

Huu ni zaidi ya wizi, labda tuseme kwenye account hakukuwa na hela kabisa kwa 3K kwa mwezi ilitakiwa wakate 15K, then waache 35K
 
Kosa lako umetoa pesa yote mpaka ya marejesho kabla bank husika hawajakata

Kila bank inaweka muda au taarehe ya kukata maresho

Sikuzote marejesho hayaingii kene salary slip

So ukiwahi kupata mshahara usitoe wote mpka bank wakate marejesho
Makato ya mkopo huwa yanakatwa moja kwa moja kabla hayajaigizwa kwenye akaunti ya benki
 
Kosa lako umetoa pesa yote mpaka ya marejesho kabla bank husika hawajakata

Kila bank inaweka muda au taarehe ya kukata maresho

Sikuzote marejesho hayaingii kene salary slip

So ukiwahi kupata mshahara usitoe wote mpka bank wakate marejesho
nilishafanyaga sana huo mchezo, kama wao wanakata lets say 30 kila mwezi, mie mshahara ukiingia tu nakomba zote - aisee nilikuwa nasakwa kama Osama, baadaye nikajisalimisha nikalipa na adhabu yake - tukayamaliza.
 
Kwenye salary slip yako 1/3 itakuwa haibalansi!?
Nijuavyo benki huwa tunapata taarifa mapema kama kuna mtu hataingiziwa mshahara kwasababu tarehe 15 ndipo hazina hutoa taarifa kwamba X,Y na W hawataingiziwa mshahara wala marejesho kwasababu fulani fulani hivyo benki hujiandaa mapema kupambana na mkopaji, sasa wewe uenda mtandao ulitikisika kwa bahati mbaya makato hayakuingizwa au wewe ulitoa makato yao kwa afisa utumishi kwa kumpa ganji ili 1/3 ibalansi ukakope benki nyingine hiyo michezo watumishi mnaicheza sana,ndio maana wamekuwa wakali na mengine hayo ya kuona wamekata zaidi itakuwa ni arrears tu.
 
Back
Top Bottom