Tegeta Escrow: Stanbic Bank yatoa Press Statement

Tegeta Escrow: Stanbic Bank yatoa Press Statement

Kwa mtazamo wako ni sheria ipi ambayo Mkombozi imekiuka? Je ulitaka Mkombozi wawaite TAKUKURU, Usalama wa Taifa, CAG na vyombo vingine vya dola vichunguze ndipo wapokee fedha za mauzo ya hisa? Kama benki ilifanya KYC ipasavyo unataka ifanye kipi cha ziada?

nashukuru umemuliza swali ambalo nami ngependa kujua hasa ni wapi benk imethibitika kua wamefanya kosa
 
hawa stanbic ndo wachora deal wakuu, ndo wafadhili wa upigaji na ndo maficho wa waharamia. escow imepita huko. richmond ndo haohao.
 
Wakati wanabeba fedha zetu kwenye magunia, hawa majambazi wanaotumaliza tukitoka benki na vijisenti vyetu wenyewe walikuwa wapi siku hiyo wangemaliza hawa wezi wa kodi zetu na kujichukulia mihela hiyo....
 
Naona rais hatatimiza maazimio ya bunge,hapa nishaona hawajiuzulu
 
Naona rais hatatimiza maazimio ya bunge,hapa nishaona hawajiuzulu

Wasipojiuzulu bunge litapia no confidence to Prime Minister na wataondoka kwa njia hiyo. Kumbuka hiyo ndiyo ilikuwa hoja ya Mnyika.
 
Wasipojiuzulu bunge litapia no confidence to Prime Minister na wataondoka kwa njia hiyo. Kumbuka hiyo ndiyo ilikuwa hoja ya Mnyika.

hapo mda utakuwa ushaenda itakuwa mpaka mwakani,hata kujiuzulu haina maana tena watakuwa wamebakiza miezi michache kabla uchaguzi haujaanza
 
Kwa hiyo utaratibu gani ulifuatwa kwa stanbic kutoa cash ya bilioni 73? Huu uzushi kwa taasish ya benki ni hatari sana!
 
Wanaojua wnasema kuwa mkombozi walienda wepes sn walio starbank ndio kuna kambale
 
Wala si mbali kama unavyofikiri. Bunge linakutana tena February 27, 2014. Hapo ndipo pana disaster.

Wasipojiuzulu bunge litapia no confidence to Prime Minister na wataondoka kwa njia hiyo. Kumbuka hiyo ndiyo ilikuwa hoja ya Mnyika

hapo mda utakuwa ushaenda itakuwa mpaka mwakani,hata kujiuzulu haina maana tena watakuwa wamebakiza miezi michache kabla uchaguzi haujaanza
 
Statement ya kikanjanja sana kama walivyoshirika ukanjanja wa kuiba pesa zetu.
 
Nchi hii drama ndio maisha ya kila siku, hatimaye hili nalo litapita
 
Tanzania ni janga la hatari na watanzania tunaishi maisha ya hatari mno. Hili libenk limevunja sheria hapa tz na tumeendelea kulichekea. Hii ingetokea Ulaya au Marekani, stanbic ingepigwa faini sawa na dhamana yake iliyoko BOT na huu ndio ungekuwa mwisho wake. Lakini kwa vile sisi ni bloody fools, majizi wanapewa front seat kupenyeza propaganda za hovyo, zimejaa ghilba, na uongo...

Hopeless Tanzania
 
Hoja hapo ni walivyotapanya hizo hela bila kufuata STK( sheria, taratibu na kanuni)

Sikubaliani na wewe. Pesa zikishalipwa kwa mdai huhitaji kujua hizo pesa zinatumika vipi isipokuwa kama zinatumika kuvunja sheria.
 
Sikubaliani na wewe. Pesa zikishalipwa kwa mdai huhitaji kujua hizo pesa zinatumika vipi isipokuwa kama zinatumika kuvunja sheria.

Pimbi wewe , kwahiyo hapo hujaona uvunjifu wa sheria?
 
Back
Top Bottom