😂😂😂😂😂 Eti eeeeeI tel ni kampuni ya wabongo tena wa kariakoo.
TECNO H6Binafsi nmetumia tecno h6 for 3years now natumia Samsung J7 pro ila sijaona tofauti kubwa baina yao, tofauti kubwa ni majina tu
Mkuu tecno H6 ifananishe na sumsung s1 maana ata hivyo H6 imetoka zamani kuliko ata s1 hivyo specification zake haziwezi kuwa sawa.TECNO H6
Display = (11.43 cm)
Resolution = 480 X 854 Pixels
Android = V. 4.4 Kitkat
Quad core 1.3 Ghz Cortex A7
1 GB RAM
Battery = 2340 mAh
Camera = 8 MP
SAMSUNG J7 Pro
Display = 5.5
Resolution = 1080 x 1920 poxels
Android = 7.0 (Nougat)
Quad core 1.6 Ghz Cortex A53
3 GB RAM
Battery = 3600 mAh
Camera 13 MP
Ni kweli simu hizi mbili zipo sawa? Kwamba tofauti kubwa iliyopo baina ya H6 na J7 Pro ni jina tu? Nasema hivi, mabadiriko ya kifikra huanzia katika kukubali/kujikubali.
Soma vizuri kaka, nimequote maelezo ya mhusika aliyesema haoni tofauti yoyote kati ya H6 na J7 Pro. Msahihishe mtecnolojia mwenzetuMkuu tecno H6 ifananishe na sumsung s1 maana ata hivyo H6 imetoka zamani kuliko ata s1 hivyo specification zake haziwezi kuwa sawa.
Hiyo J7 yako iweke hapo na tecno Camon specification zake ndio huje na hoja zako.

Kabla ya ku comment hapa na kutoa compliments kwa h6 ulitakiwa kumuelimisha mlengwa kwamba hata IWEJE, H6 hiwezi kuwa SAWA na J7 Pro.Mkuu tecno H6 ifananishe na sumsung s1 maana ata hivyo H6 imetoka zamani kuliko ata s1 hivyo specification zake haziwezi kuwa sawa.
Hiyo J7 yako iweke hapo na tecno Camon specification zake ndio huje na hoja zako.
K7 ajawahi kua na 4gTecno spark (K 7 )
K7 aijawahi fika hiyo beiYap 300k to 280k mkuu.
Kabisa mkuu huyu jamaa kavimbiwa maharageKabla ya ku comment hapa na kutoa compliments kwa h6 ulitakiwa kumuelimisha mlengwa kwamba hata IWEJE, H6 hiwezi kuwa SAWA na J7 Pro.View attachment 862758
TECNO H6
Display = (11.43 cm)
Resolution = 480 X 854 Pixels
Android = V. 4.4 Kitkat
Quad core 1.3 Ghz Cortex A7
1 GB RAM
Battery = 2340 mAh
Camera = 8 MP
SAMSUNG J7 Pro
Display = 5.5
Resolution = 1080 x 1920 poxels
Android = 7.0 (Nougat)
Quad core 1.6 Ghz Cortex A53
3 GB RAM
Battery = 3600 mAh
Camera 13 MP
Ni kweli simu hizi mbili zipo sawa? Kwamba tofauti kubwa iliyopo baina ya H6 na J7 Pro ni jina tu? Nasema hivi, mabadiriko ya kifikra huanzia katika kukubali/kujikubali.
Hapa tumeelewana,Kabisa mkuu huyu jamaa kavimbiwa maharage
Kama nitakuwa nimekuelewa vizuri kaka, tuwe rational, J7 Pro ni ya June, 2017, Camon X Pro naona hapo ni ya April, 2018.Mkuu tecno H6 ifananishe na sumsung s1 maana ata hivyo H6 imetoka zamani kuliko ata s1 hivyo specification zake haziwezi kuwa sawa.
Hiyo J7 yako iweke hapo na tecno Camon specification zake ndio huje na hoja zako.
Unamaanisha S7 edge yangu mkuu? Hapana haigusi. Kwa nadharia, hiyo simu ni zaidi ya I phone X, "kwa nadharia".ila umeonaje hizo specification zake sumsung yako inagusa hapo mkuu?
Bei yake?ila umeonaje hizo specification zake sumsung yako inagusa hapo mkuu?
I phone X inauzwa zaidi ya 2 Milioni. Katika hali ya kawaida, inawezekanaje? Kwa kutumia hekima ya kawaida tu utakubaliana na mimi kwamba, watengenezaji wanacheza na akili ya watanzania wengi kwa kuweka namba kubwa kwa baadhi ya vitu ktk simu kama RAM, CAMERA, MEMORY, Battery nk, maana hiyo simu kiubora ilipaswa kuwa zaidi ya I Phone X hivyo ingeuzwa zaidi ya 3M. Kinadharia ina tarakimu kubwa, tarakimu hazibashiri perfomance yake. Au unaweza linganisha perfomance ya I phone X yenye 3GB RAM, 12 MP camera na kadha wa kadha na Camon X pro?ilikuwa inauzwa kam 500k na ushee hivi ila now unaweza kuipata ata kwa 470k.
utamu wa iphone kwanza upo kwenye security system yake ndio maana simu hz hutumika ktk nchi zilizoendelea kwa sababu kule hackers who can access private details n wengi sana sio kama huku,pia faida ta iphone n flexibility yake ktk matumiz,sio rahs kujizimazma ovyoovyo kama tekno zifanyavyo,its searching machine hazsumbui kama za tekno,utakuta tekno unasearch issue fln google ila inakupeleka usikotaka kabisa...pia uimara wa spika zake,hz tekno ukitumia after one year spika zake hupungua ubora,hadi mm nikiwa sehemu isiyo nawatu naweka loudspeaker wakat wa kuongea maana inaumiza nikiweka sikion..utamu wa iphone upo pia ktk kamera zake hasa kwa mtu ambaye anapiga picha hasahasa wale watu wenye kufuatilia mambo ya siri yahusuyo organization au serikali...iphone inafaida sana tu jmn ...ila kwetu cc wabongo tunajua faida ya smartphone n kuingia ig,jf fb,na whatsp bhc.
Watumiaji wa tekno wabishi sana .....bhc mkuu tekno n sawa na iphone....umeshinda au sio....ila ukweli utabaki palepale tekno n simu za nchi maskini sana.....sina muda wa kukufanya uamin kuwa ubora wa tekno uko chini kulko iphone,kama kwako iphone n sawa na tekno poa tu hyo n kimpango wako wew,hata tandale n sawa na masaki mwingne anaamin hvo ila kusema iphone n sawa na tekno in quality juu n upumbavu na sio ujinga maana umevuka mipaka ....ushabiki wa kipuuz usio na fact kama huu nishaachana nao...mm natumia tekno ila najua iphone au Samsung sio sawa na haya makopo ya mchina...amini ujuavyo wew ..kimpango wakoUmezungumza mambo mengi lakini nasikitika kukwambia kwamba kiufundi/kiteknilojia hayana mantiki,simu karibu zote zinatumia hardware zinazo fanana kuanzia processor na chipsets mpaka Operating Systems save Iphone na Black Berry ambazo OS zake ni tofauti lakini hardware ni zile zile.
Naona maoni yako yamekaa kaa kishabeki zaidi kuliko kiuhalisia,lengo lako ni kutaka kuonyesha kwamba Watanzania wanao tumia simu za TECHNO ni washamba au masikini vile wakati wewe katika maoni yako unaonekana wazi wazi uelewi vizuri jinsi mobile phones zinavyo undwa/ fanya kazi,kuanzia: hardware,firmware,software:OS na apps zake, ndio maana unatujia na madai eti TECHNO inasumbua kwenye google!! nani kakwambia kwamba kampuni ya TECHNO inahusika katika masuala ya ku-code search engines za mitandaoni??? Mara eti speaker za Techno zinakorofisha baada ya mwaka mmoja kupita, nani kakwambia kampuni ya Techno inaweka timer ya ku-degrade quality za speaker baada ya mwaka mmoja kupita? mara, sijui IPhone haiwezi kuwa hacked kuna ukweli gani katika madai yako. Bottom line is: msitake kukatisha tamaa Watanzania wenzenu, wana akili timamu za kuchagua wanacho kipenda kutegemea na mifuko/mahitaji yao.
I phone X inauzwa zaidi ya 2 Milioni. Katika hali ya kawaida, inawezekanaje? Kwa kutumia hekima ya kawaida tu utakubaliana na mimi kwamba, watengenezaji wanacheza na akili ya watanzania wengi kwa kuweka namba kubwa kwa baadhi ya vitu ktk simu kama RAM, CAMERA, MEMORY, Battery nk, maana hiyo simu kiubora ilipaswa kuwa zaidi ya I Phone X hivyo ingeuzwa zaidi ya 3M. Kinadharia ina tarakimu kubwa, tarakimu hazibashiri perfomance yake. Au unaweza linganisha perfomance ya I phone X yenye 3GB RAM, 12 MP camera na kadha wa kadha na Camon X pro?
Zungumza uhalisia tafadhali kwa faida ya wengi.