Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,489
- 6,883
Kipindi inatoka ilkuwa 1.m sa hivi itakuwa imeshukaBei yake plz
Kipindi inatoka ilkuwa 1.m sa hivi itakuwa imeshukaBei yake plz
Sawa mkuu ....ila siku nikipata mkwanja wa maana tekno ztanisahau moja kwa moja ....HV vioja vyake vinachoshaMkuu we katest huo mtambo usitumie tecno za promosheni lazima zikusumbue Tecno Camon ni nouma,kuna Spark(K7) kuna sasa spark 2 zote ni nouma fingerprint security.
Huna Hela Kaka! iphone ni ndoto ya kila BinadamuFanya kazi upige Pesa ukavute iphone yako! Ni sawa na kumiliki vits Halafu unasema wenye V8 na Rangerover Malimbukeni
Non sense
Umaskin watu ndio tatzo mkuu...kama ukiwa na hela us not a big deal mtoto akitupia majini unanunua nyingne,ila kwa vile tunakabiliwa na umaskin ndio maana u count risks za iphone kabla hata hujanunua...iphone tamu jmn..bhc tuHaha hahaaaa. 64 GB angalia mambo ualiyomo ndani sasa. Miziki miiingi. Mapicha meeengi mengine hayana maana. Apps sasa nyingi sana na bado nafasi inadai kioo kinabust, betri linakufa, mtoto analitupa kwenye jagi la maji yaani vurugu tupu. Kwa 2 million tena za mkopo. Haha hahaaaa.
Kila mtu aishi maisha yake asimdharau mwenzie kwani mwisho wa wenye mwili ni mmoja. Maisha hayalingani ila matatizo ya simu za techno ni storage ndogo hivyo kupelekea kustack na hata kuji restart ila ukitumia kwa uangalifu mbona tunapiga nazo miaka. Hakuna techno iliyowahi kunifia isipokuwa moja ambayo niliiroot vibaya ikafa ila niliifufua mtoto akaipiga chini touch ikafa ila nyingine zote niliibiwa tu na watu zikiwa na umri Mkubwa tu.Duuuh....bhc nishajua naelekezana na mbishi wa asili...kama unaweza sema tandale na mbez mbichi maisha n sawa au maisha ya watanzania n sawa na ya wamarekani ktk ubora yaan quality bhc wew utakuwa na ubishi asilia...
Sidhan kama inahitajika elimu ya degree kujua kuwa maisha ya masaki sio sawa na yale ya mbagala japo wote hupumua hewa ileile...
Hata sitaki 😂😂😂😂Mama sumsung umeamkaje
Ewaaaaaaaaaaaaaaa..mwisho samsung imeshinda ni bingwa uwezi fananisha na vitecno.
😂😂😂😂 Watumiaji wa Tecno watapata tabu sana. 💃💃💃💃💃Techno hapana. Siwezi kuisifia. Touch screen ya Tecno unaweza ipiga ngumi kwa hasira. Samsung yes inaisha chaji lakini ni simu nzuri.
Ina nini ndugu yangu?. Hebu nielezee. Mfano Nina redio ya Sony utamu wake ni kuwa naweza set time ikajizima na time ikawaka tena kwa jinsi utakavyo. Unaweza weka CD wimbo Fulani ikaamka na wimbo huo au kituo Fulani cha redio n.k. unaweza record kipindi redioni wakati haupo ukarudi ukasikiliza. Ina equalizer system za ukweli hasa ikiwa una watch movie huu ndio utamu wa hii redio.Umaskin watu ndio tatzo mkuu...kama ukiwa na hela us not a big deal mtoto akitupia majini unanunua nyingne,ila kwa vile tunakabiliwa na umaskin ndio maana u count risks za iphone kabla hata hujanunua...iphone tamu jmn..bhc tu
N kweli kudharauliana kisa maisha sio fresh wala nn yaan ...ila tu ukumbuke kuwa maisha ya nchi tajiri sio sawa na ya cc nchi maskin...ndio maana nchi zilizoendelea wanaishi miaka mingi sana kulko nchi maskin kama sisi so kupumua hewa ileile hakutufanyi tuwe sawa nawao...kuna tofaut kubwa sana kuishi eneo lenye umaskin na eneo lenye Bali nzur ya maisha...tuache ubishi,tekno n simu za nchi maskin hasa bara LA AfricaKila mtu aishi maisha yake asimdharau mwenzie kwani mwisho wa wenye mwili ni mmoja. Maisha hayalingani ila matatizo ya simu za techno ni storage ndogo hivyo kupelekea kustack na hata kuji restart ila ukitumia kwa uangalifu mbona tunapiga nazo miaka. Hakuna techno iliyowahi kunifia isipokuwa moja ambayo niliiroot vibaya ikafa ila niliifufua mtoto akaipiga chini touch ikafa ila nyingine zote niliibiwa tu na watu zikiwa na umri Mkubwa tu.
Utamu wa iphone kwanza upo kwenye security system yake ndio maana simu hz hutumika ktk nchi zilizoendelea kwa sababu Kule hackers who can access private details n wengi sana sio kama huku,pia faida ta iphone n flexibility yake ktk matumiz,sio rahs kujizimazma ovyoovyo kama tekno zifanyavyo,its searching machine hazsumbui kama za tekno,utakuta tekno unasearch issue fln google ila inakupeleka usikotaka kabisa...pia uimara wa spika zake,hz tekno ukitumia after one year spika zake hupungua ubora,hadi mm nikiwa sehemu isiyo nawatu naweka loudspeaker wakat wa kuongea maana inaumiza nikiweka sikion..utamu wa iphone upo pia ktk kamera zake hasa kwa MTU ambaye anapiga picha hasahasa wale watu wenye kufuatilia mambo ya siri yahusuyo organization au serikali...iphone inafaida sana tu jmn ...ila kwetu cc wabongo tunajua faida ya smartphone n kuingia IG,jf fb,na whatsp bhc.Ina nini ndugu yangu?. Hebu nielezee. Mfano Nina redio ya Sony utamu wake ni kuwa naweza set time ikajizima na time ikawaka tena kwa jinsi utakavyo. Unaweza weka CD wimbo Fulani ikaamka na wimbo huo au kituo Fulani cha redio n.k. unaweza record kipindi redioni wakati haupo ukarudi ukasikiliza. Ina equalizer system za ukweli hasa ikiwa una watch movie huu ndio utamu wa hii redio.
Hebu nipe utamu sasa wa I phone.
Ni kweli kabisa kikubwa ni kukubali hali uliyonayo mada hii imekaa kishabiki kuwa maisha ya watu wa Tandale sio maisha ni bora kufa kuliko kuishi Tandale tena anayesema haya yuko Mbezi. Sasa nami namuuliza anamaisha yapi ya ziada zaidi yangu?. Atakachoniambia anakwenda beach nami namwambia nami naenda pia Maziwa na bahari fukwe ziko kibao tena bure. Atanitajia misosi anayokula nami namtajia yangu kikubwa Sote tunakula.N kweli kudharauliana kisa maisha sio fresh wala nn yaan ...ila tu ukumbuke kuwa maisha ya nchi tajiri sio sawa na ya cc nchi maskin...ndio maana nchi zilizoendelea wanaishi miaka mingi sana kulko nchi maskin kama sisi so kupumua hewa ileile hakutufanyi tuwe sawa nawao...kuna tofaut kubwa sana kuishi eneo lenye umaskin na eneo lenye Bali nzur ya maisha...tuache ubishi,tekno n simu za nchi maskin hasa bara LA Africa
Sanaaa.Watumiaji wa Tecno watapata tabu sana.
![]()
Akikujibu nitag mkuuIna nini ndugu yangu?. Hebu nielezee. Mfano Nina redio ya Sony utamu wake ni kuwa naweza set time ikajizima na time ikawaka tena kwa jinsi utakavyo. Unaweza weka CD wimbo Fulani ikaamka na wimbo huo au kituo Fulani cha redio n.k. unaweza record kipindi redioni wakati haupo ukarudi ukasikiliza. Ina equalizer system za ukweli hasa ikiwa una watch movie huu ndio utamu wa hii redio.
Hebu nipe utamu sasa wa I phone.
Mm nna camon 7 haina tatizo mwaka na nusuNenda shop kavute Tecno Camon alafu test huo mtambo uone unavyofanya kazi .
Wakikuelewa ni PM mkuu....View attachment 862430
#Team Xiaomi Mi a2 lite mpo? Tecno ni low-end devices zinazouzwa bei kubwa, Tecno si simu za bei raisi kama wengi mnavyodhani.
