Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tuache kuongea kwa kuongozwa na utashi binafsi bali tuongee kwa uhalisia, huwezi fananisha simu aina ya Tecno na simu kama Samsung ama I phone. Ni vitu viwili tofauti, Tecno zinatengenezwa kwa mlengo wa watu wa chini/kawaida ambao wanatamani kuzifikia simu tajwa ila wanashindwa kutokana na sababu moja ama nyingine, suala sio matumizi ya simu kufanana, hapa tunazungumzia comfortability na satisfactory wakati wa matumizi ya simu husika.
Umeongea vema...ndio najarbu kuwaelewesha wenzangu tunaotumia alhaj tekno waelewe
 
Umeongea vema...ndio najarbu kuwaelewesha wenzangu tunaotumia alhaj tekno waelewe

Watu bwana, sio kila ukweli unaweza kuwa ndio ule unaotaka kusikia, kuna wakati lazima tukubali uhalisia wa jambo, katika biashara kuna kitu kinaitwa "targeted customers" hili ni jambo muhimu sana! Majority ya simu za tecno huuzwa Africa, i said majority na "sio kwamba hakuna tecno zinazouzwa elsewhere". Mie mwenyewe natamani kutumia I phone X ila hiyo bei yake kwa sasa sijaweza kuifikia ninaendelea kudunda na S7 edge yangu. Kama kuna binadamu asiyependa kitu kizuri huyo atakuwa ana dosari sehemu fulani. Ni wazo langu tu
 
Watu bwana, sio kila ukweli unaweza kuwa ndio ule unaotaka kusikia, kuna wakati lazima tukubali uhalisia wa jambo, katika biashara kuna kitu kinaitwa "targeted customers" hili ni jambo muhimu sana! Majority ya simu za tecno huuzwa Africa, i said majority na "sio kwamba hakuna tecno zinazouzwa elsewhere". Mie mwenyewe natamani kutumia I phone X ila hiyo bei yake kwa sasa sijaweza kuifikia ninaendelea kudunda na S7 edge yangu. Kama kuna binadamu asiyependa kitu kizuri huyo atakuwa ana dosari sehemu fulani. Ni wazo langu tu
Sio wazo lako tu,ni wazo langu pia mkuu.
 
Binafsi nmetumia tecno h6 for 3years now natumia Samsung J7 pro ila sijaona tofauti kubwa baina yao, tofauti kubwa ni majina tu
 
Binafsi nmetumia tecno h6 for 3years now natumia Samsung J7 pro ila sijaona tofauti kubwa baina yao, tofauti kubwa ni majina tu
Bora wewe umekuja kutoa ushuhuda hao wenzio waamini
 
Yaani unatumia simu mpaka inafikia 480 mb alafu bado unalalamika ikiwa inastack ?

Simu unaigeuza laptop mkuu?
Bro, nishatumia iphone, kitu hakina hana kb moja ilobaki kwenye storage, nlikuwa naweza kupiga screenshot na ikawa saved, nilikuwa naweza kupokea sms bila waswas, na ilikuwa haistuck kabisa. kitu ambacho ilikuwa siwezi kufanya ni kuchukua picha na video na kudownload apps. We unaona kawaida simu kubakia 480mb ikisha ikawa ina stuck? unazijua 480mb lakini au umeona kb wewe? una explain vipi sms ya kb inashindwa kuingia kwenye simu ambayo ina mb za kutosha zimebaki?

Tatizo simu za android na hasa hawa akina tecno na wenzao, wanatumia chip za ovyo na akisha wanaweka program za kipumbavu kama cleanup na nyengine zisizokuwa na maana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom