Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tecno User Vs Samsung and iphone user

Hiki tu ndicho mlichonacho prestige basi ila sote tunafunga miguu pale tukiitwa wamiliki wa simu janja. Tusidharauliane. Simu ni kama tumbo aliyekula makande na sausage wote ni sawa ukiwaona hutojua nini kimo tumboni.
Kwenye simu tunajua nini kipo ndani
 
Wakija watakwambia ni i cloud na security ya kutosha na wakati hakuna chochote cha maana anachoficha zaidi ya picha za ngono alizozijaza humoo.
Haha hahaaaa!. Na msg za michepuko. Waafrika tuna shida kubwa sana.

Wauzaji wa masimu ya bei imekula kwenu.
 
Wamarekani hawawezi kutumia vitu vya kijinga kama Tecno!kama wachina wenyewe wameshindwa kutumia huo ujinga huna hata akili ya kujiongeza!!
Nasikia hao wamarekani na wachina hawatumii ugali pia
 
Asante sasa tuko pamoja kula like. Hata Mimi sishindwi kununua I phone katu ikiwa na mambo niyaonayo ni ya msingi na ya msaada. Ila katu sinunui simu kwa jina lake big noo. Hiyo pesa bora nile. Techno zinamuonekano mzuri, camera safi, mziki mzuri, google kama kwa, I phone INA nini cha ziada?.
sawa mkuu ila siku ukipata shavu LA kwenda mbele chukua iphone..tekno weka kando ..ukirud huku kwetu,iPhone weka kando chukua tekno maisha yasonge
 
Usinunue iphone bila kuwa na matumiz yake ya msng,yaan usinunue kwa sababu tu unataka kujitofautisha na watumia tekno,aisee utapata taabu sana...nlkuwa na rafk yangu kioind Niko first year sasa alkuwa anatumua iohone 5 sasa shida ikaja kwenye kuinsralk apps za masomo mfano kuna apo inaitwa "teach me anatomy " kwa waliosoma anatomy wanaijua,aisee kwa cc watumia tekno tunapakua Bure tu kutoka play store ila yy aliambiwa hawez kuipakua kutoka appstore had alipe tz10000 ,ilibid alike tu hakuwa na namna,baadae aliiuza kwa bei ta hasara,saiv anatumia infinix tu...karud android...iphone sio za kukurupukia
Tecno for life
 
nipambe tu.

Mzima lakini Baba Tecno?
Ni salama kabisa tecno yangu leo imeniamsha kwa ring tone ya bila kutegesha nafikiri imeshaanza kujua muda wangu ninaomka.

ila katamu haka katecno kangu.
 
Wakija watakwambia ni i cloud na security ya kutosha na wakati hakuna chochote cha maana anachoficha zaidi ya picha za ngono alizozijaza humoo.
Hahahaa...n kwa vile tuko huku kusiko na faida ya kuwa na security kwenye simu ...nchi zlzoendelea security is very essential kwa sababu nying sana maana simu inakuwa connected na inshu nyng za kibiashara na kibenku so ulinz wa simu n muhimu ...ila kwa sisi ambako hakuna hackers tekno is our priority
 
Tuache kuongea kwa kuongozwa na utashi binafsi bali tuongee kwa uhalisia, huwezi fananisha simu aina ya Tecno na simu kama Samsung ama I phone. Ni vitu viwili tofauti, Tecno zinatengenezwa kwa mlengo wa watu wa chini/kawaida ambao wanatamani kuzifikia simu tajwa ila wanashindwa kutokana na sababu moja ama nyingine, suala sio matumizi ya simu kufanana, hapa tunazungumzia comfortability na satisfactory wakati wa matumizi ya simu husika.
 
Umesema simu kama tumbo aliyekula makande na aliyekula sausage wote hawajulikani wamekula nini. BTW ukiwa na tecno tunajua ndani kuna nini.
Kwani ukimuona maskini huwezi kujua kwamba ndani kuna nini ?
Hapi utajua tu maharage ya jana ,wali uliochacha, mrenda wa juzi mixer uji usioiva.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom