Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tecno User Vs Samsung and iphone user

Wazungu wanawafilisi kwa kuvipa vitu vyao Dhamani ila hakuna cha ziada mkuu.


Katecno kangu kanaingia facebook,whatsapp,instagram,twitter ,jf na site kama zote alafu nimekanunua laki 3 tu vipi we i phone yako ya milioni 3 ina kitu gani cha tofauti zaidi ya i cloud na Security ya uhakika.?

Kumbe ushaona
 


Niseme tu ukweli, mimi Samsung nimezichukia hasa zinapopasuka screen/kioo kiurahisi.

Tecno yangu nimeidondosha mara nyingi sana kwenye sakafu lakini imepasuka kidogo sana
Hawatakuelewa hapo mkuu simu kioo tu kama laki 3 sasa si bora ununue tecno mpya kabisa.
 
Hiyo new model mkuu
Hahahaaaaaaaa hii ya 2016 ni Pad

Tecno-PhonePad-7II-in-Kenya-768x329.jpg
 
Mzk wa tekno utauona ikimaliza mwaka mmoja toka uinunue....yaan hii yangu Mara ijizime,Mara nikiwasha data istucj hadi nireboot,Mara inasearch mambo ambayo sijataka yaan taabu tupu.
Haka katecno kangu kanaenda kumaliza mwaka wa tatu kwakweli napambana nako mpk kanifie nitafute techno nyingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom