Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tecno User Vs Samsung and iphone user

Nilikuwa napenda sana lg na nimetumia sana kuanzia lg v10,lg g3,samsung s5,4 na 3 ila tatizo ni moja hazikai na chaji tena bora Samsung kuliko lg zinapata moto kama zimetoka jikoni.ila saizi nimeamia kwenye iphone 📱 chaji saa 24 halafu data zipo on pia haipati moto gb zakutosha 128 .
 
Paragraph yangu ya pili nimeelezea kuhusu hilo kwamba japo hazidumu lakini kwangu ndio the best ikianza kuzingua nampa dogo atumie mi navuta nyingine mupya ukizingatia kila siku zinakuwa Up dated
Oooh. Kama hivyo sawa ila sitasita kukuita mtumiaji mbovu wa pesa sababu ni bora ukanunua simu ya uhakika hata kwa gharama kubwa kuliko kujinunulia kitu kisichoeleweka eti kisa ikizingua utaigawa lol.
 
Haha...Aisee...150,000/-. Sijui simu nzuri ya hiyo bei mkuu.

Si ujipange pange hata 400,000k misimu ya sikukuu kuna offer kibao unaweza pata ka-midrange ka Nokia au Samsung.

Au hata 300,000k hivi Tecno X zile nadhani ziko vizuri kutokana na specs zake

ILI NIPATE NOKIA_1 ANDROID YABIDI NIWE NA SH. NGAPI?
 
Nilikuwa napenda sana lg na nimetumia sana kuanzia lg v10,lg g3,samsung s5,4 na 3 ila tatizo ni moja hazikai na chaji tena bora Samsung kuliko lg zinapata moto kama zimetoka jikoni.ila saizi nimeamia kwenye iphone chaji saa 24 halafu data zipo on pia haipati moto gb zakutosha 128 .
I phone ngapi hiyo unatumia mkuu?
 
Mi nilikuwa natumia Galaxy s2 mwaka 2013 hiyo, akaja dada mmoja akataka nimbadulishie anipe tecno m5 na laki mbili juu. Nikampa.

Ile tecno nilitumia mwezi tayari kioo kishachakaa na kustack.

Akaja jamaa enzi hizo chuon wenye smartphones chuon wanahesabika nikamkamata bei.

Toka siku hiyo tecno sitaki hata kuishikaa.
Umeonaeee. Hazina maana hizo simu.

Itakuwa zero Iq anazisifia sababu hajakutana na madhila yake.
 
Nilikuwa napenda sana lg na nimetumia sana kuanzia lg v10,lg g3,samsung s5,4 na 3 ila tatizo ni moja hazikai na chaji tena bora Samsung kuliko lg zinapata moto kama zimetoka jikoni.ila saizi nimeamia kwenye iphone chaji saa 24 halafu data zipo on pia haipati moto gb zakutosha 128 .
Wazee wa kukaaa kwenye soketi ya umeme wakija hapa hawatakuelewa mi ni bora simu inisumbue mengine lakini siyo kwenye chaji asee
 
Oooh. Kama hivyo sawa ila sitasita kukuita mtumiaji mbovu wa pesa sababu ni bora ukanunua simu ya uhakika hata kwa gharama kubwa kuliko kujinunulia kitu kisichoeleweka eti kisa ikuzingua utaigawa lol.
Tatizo ni chaji tu basi hakuna kitu kinaniboa kama kutumia simu inayoisha chaji kwa nguvu ya upepo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom