Hamna hiyo kitu. Nina mifano hai banaaa Zero wacha ubishi.Ulitumia tecno y3 wewe kuna watu wanaoongoza kutumia simu zenye kreki kama watu wa tecno na ziko poa .
Mmmh. Mmmh mmmh.Niliiona siku ile alipompigia waziri wake pale moro .
Ooh. Usijali Zero.Nazikubali kinyamaaaa
Hahahaaaaa. LolTecno for life nyie endeleeni kupigwa kwa kutumia majina ya kampuni
Bado bado bado sana kunishawishi Zero Iq sababu nilishakuwepo hukoo.Umebaki na Asilimia ngapi au upo kwenye Cable
Hongera kwa kujikomboa na kuacha kutumia simu za mabaamedi na makonda wa daladalaKwa sasa natumia Samsung na ndipo mkono wangu ulipofikia kujikuna babu. Hahahaaa
Tecno ni changamoto aisee Babu hazina maana hata kidogo na usiombe screen ipate ufa basi kama ni sehemu ya herufi ujue haifanyi kazi tena.
Xiaomi 5s plus nawakilisha
Mkuu acha nyodo hizo. Mimi natumia TECNO FANTOM Tangu mwaka 2012 mpaka leo inadunda tu.Hazinaga maana hizo Mangi. Yaani ni simu nzuri kimuonekano + ukubwa ila nje ya hapo si lolote.
Namshukuru Mungu, hofu kwako Dada yanguMzima lakini?
Pamoja sana.Ongera sana mkuu Tecno forever achana na hao wanaonunua simu kwa ukubwa wa majina ya kampuni kwa bei kubwaa na wakati za bei ndogo zipo nyomiii
Umeamkaje mama Samsung user
Hahahaaaa. Jamaaani lol.
Sijambo Baba Tecno. Niaje?