Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tecno User Vs Samsung and iphone user

Samsung mpango mzima, screen angavu na ya kusense fasta si km tecno screen inang'ang'ania vidole, mi pia natumia zote (nina tecno w3 na Samsung j5 2016) na nina mpango wa kununua Samsung J8 ya mwaka huu.
Tatizo la Samsung ni bei tu ndo ghali ila ukweli huwezi kuzikompea na tecno.
Afu hiyo P5 yako ya zamani sana asee nunua mpya tecno camon x ndo angalau unaweza kompea na samsung.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom