Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Hivi thread imenikumbusha msemo wa umoja ni nguvu, naona Team Techno imekataa kunyanyaswa na muda si mrefu wataondoka na ushindi, refa kanyanganywa filimbi, baadhi ya wachezaji timu pinzani wanalazimishwa kupiga mipira kuelekea golini kwako.
