Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tecno User Vs Samsung and iphone user

Sasa hivi unatumia nini?

Mi Tecno ilinishinda kwa visa vyake. Bombardier ikipita juu yenyewe inajichaji automatikale. Ukienda hospitalini nesi akishika sindano yenyewe ina vibrate. Ukienda nayo msalani inapoteza network afu inaanza kuimba taarab...
Hiyo siyo tecno utakuwa ulipigwa ungejaribu kuifungua ungekuta betri ya samsung,chaji ya uhawei,future ya itel,ukiwasha inaandika Sony lakini kwenye kava ni tecno.


Uliingia kichwa kichwa dukani Tecno zetu ziko fresh kabisa Network full,chaja ndio usiseme bado kwenye matumizi na very easly.
 
Sijawahi tumia tecno ila pia sijafikiria kununua tecno, samsung s6 edge ilkuwa haikai na chaji nikanunua samsung c9 pro..aisee huu mwaka wa pili na sifikirii kuibadili kwa sasa, betri siku 2, ram 6gb, rom 64gb iko fasta no mastack...tecno mh
 
Sijawahi tumia tecno ila pia sijafikiria kununua tecno, samsung s6 edge ilkuwa haikai na chaji nikanunua samsung c9 pro..aisee huu mwaka wa pili na sifikirii kuibadili kwa sasa, betri siku 2, ram 6gb, rom 64gb iko fasta no mastack...tecno mh
Utatumia tu one day ninachoipendea tecno daily wanajiupdate kutokana na mazingira
 
Hemb tuwe wakweli watu weng hutumia tecno kwa sbb ya either
1. Njaa(hili n suala la kawaida)
2. Ubahili(Nature na weng wapo kwenye kund hili)
3. Kutokua na uelewa wa ubora wa makampun mengne, kudanganyana(anakuambia tecno ina camera nzur sana, unaijua samsung wewe?) na urahisi wa upatkanaji
4. Mawazo mgando (Eti ikipotea au kuharbika siingii gharama kubwa.
5. Mkumbo, wateja wa tecno wanaongoza kwa kuigana, unakumbuka enz za H6, C8, C9, BOOM J7? ASAIV SPARK SERIES, yan ukpta pale aggrey ukiangalia chin kila boks lilitupwa ilikua n H6, c8, c9, boom j7 leo hii n spark, halaf wanakuaga na haraka kinyama, yan kabla hujamuwekea accessories za cm kwenye boks ashabeba cm amesepa na ma selfie kibao ashapiga,

Sent from my iphone x and samsung galaxy note 9 at once, nimezinunua jana pale karume karibu na duka la mapajama
 
Hata Mimi tecno yangu inaingia whatsup, fb, tweeter na instagram Kama kawa na picha nzuriii ajab... Ulimbuken wa kukomaa na brand nlishaga Pona
Tecnonino mnafikirisha sana mbongo zenu kujitetea na kujipa matumaini wakat moyoni hamna furaha na simu zenu. Hata wale wa chitchat tutegemee watadondosha hoja nzito sana.
 
Hemb tuwe wakweli watu weng hutumia tecno kwa sbb ya either
1. Njaa(hili n suala la kawaida)
2. Ubahili(Nature na weng wapo kwenye kund hili)
3. Kutokua na uelewa wa ubora wa makampun mengne, kudanganyana(anakuambia tecno ina camera nzur sana, unaijua samsung wewe?) na urahisi wa upatkanaji
4. Mawazo mgando (Eti ikipotea au kuharbika siingii gharama kubwa.
5. Mkumbo, wateja wa tecno wanaongoza kwa kuigana, unakumbuka enz za H6, C8, C9, BOOM J7? ASAIV SPARK SERIES, yan ukpta pale aggrey ukiangalia chin kila boks lilitupwa ilikua n H6, c8, c9, boom j7 leo hii n spark, halaf wanakuaga na haraka kinyama, yan kabla hujamuwekea accessories za cm kwenye boks ashabeba cm amesepa na ma selfie kibao ashapiga,

Sent from my iphone x and samsung galaxy note 9 at once, nimezinunua jana pale karume karibu na duka la mapajama
Tecno for Life
 
Hemb tuwe wakweli watu weng hutumia tecno kwa sbb ya either
1. Njaa(hili n suala la kawaida)
2. Ubahili(Nature na weng wapo kwenye kund hili)
3. Kutokua na uelewa wa ubora wa makampun mengne, kudanganyana(anakuambia tecno ina camera nzur sana, unaijua samsung wewe?) na urahisi wa upatkanaji
4. Mawazo mgando (Eti ikipotea au kuharbika siingii gharama kubwa.
5. Mkumbo, wateja wa tecno wanaongoza kwa kuigana, unakumbuka enz za H6, C8, C9, BOOM J7? ASAIV SPARK SERIES, yan ukpta pale aggrey ukiangalia chin kila boks lilitupwa ilikua n H6, c8, c9, boom j7 leo hii n spark, halaf wanakuaga na haraka kinyama, yan kabla hujamuwekea accessories za cm kwenye boks ashabeba cm amesepa na ma selfie kibao ashapiga,

Sent from my iphone x and samsung galaxy note 9 at once, nimezinunua jana pale karume karibu na duka la mapajama
Umeandika upepo kama betri za samsung!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom