Siku nyingine ukinunua simu ya Tecno, nunua yenye ram kuanzia 2GB na kuendelea, vinginevyo usiwe mtumiaji mkubwa application nyingiEnzi hizo ndo tecno iliyokuwa ina bamba
Hiyo Tecno camon X naitumia vyema ila nishajua udhaifu wake na tabu zake. Nimeweza kupambana nazo, maisha yanasongaTrue say mkuu
Ndo hapo sasa, halafu simu kustack si Tecno tu hata Samsung na nyinginezo. Kama hawaamini waambie wajaze Apps, ram na storage zizidiwe uwezo watakuja kusimulia. Computer yenyewe inastack ikizidiwa uwezo ndo sembuse simu.Hawa walitumia y3 alafu wanakuja hapa kuponda Tecno zote.
TrueHakuna kisichokuwa na mapungufu major way ni kuovercome tu.
Mkuu hawatakuelewa ata ukiwaambia hivyoNdo hapo sasa, halafu simu kustack si Tecno tu hata Samsung na nyinginezo. Kama hawaamini waambie wajaze Apps ram na storage zizidiwe uwezo watakuja kusimulia. Computer yenyewe inastack ikizidiwa uwezo ndo sembuse simu.
Kama ni mtumiaji wa apps nyingi, nunua tecno kuanzia laki 3 ndiyo utafurahia
Kwa aliyesoma ICT au IT hawezi bisha jambo kama hiliMkuu hawatakuelewa ata ukiwaambia hivyo
Ni sawa na mnunua ugali hoteli ya nyota tano, akamponda mnunua ugali kwa mama ntilieHawa wanaendeshwa na majina ya makampuni makubwa na wakati kinachotengenezwa ni kile kile tu.
Kwa sasa natumia Samsung na ndipo mkono wangu ulipofikia kujikuna babu. HahahaaaSasa hivi unatumia nini?
Mi Tecno ilinishinda kwa visa vyake. Bombardier ikipita juu yenyewe inajichaji automatikale. Ukienda hospitalini nesi akishika sindano yenyewe ina vibrate. Ukienda nayo msalani inapoteza network afu inaanza kuimba taarab...
Ulitumia tecno y3 wewe kuna watu wanaoongoza kutumia simu zenye kreki kama watu wa tecno na ziko poa .Kwa sasa natumia Samsung na ndipo mkono wangu ulipofikia kujikuna babu. Hahahaaa
Tecno ni changamoto aisee Babu hazina maana hata kidogo na usiombe screen ipate ufa basi kama ni sehemu ya herufi ujue haifanyi kazi tena.
😂😂😂😂😂 lol.Wengine wanatumia huku wakijificha
😂😂😂😂 umejuaje lakini?Uncle magu mwenyewe ni mteja wa Tecno unamaanisha nae ana Njaa mkuu?
Naona umepata mtetezi. Lol.Mkuu hawatakuelewa ata ukiwaambia hivyo