Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tecno User Vs Samsung and iphone user

Hahahaaa. Inapaswa azisifie kwa wale ambao hawajawahi zitumia ila kwa kina sie ambao tushawahi tumia tutampinga vikali aiseee.

Kama zipo za uhakika ni chache mnoo ila mengi ni mabomu.
Hakuna tekno ya uhakika..kiufupi tekno ni simu za maskini tu....hizi simu ukiinunua ikiwa mpya utaifurahia kiasi ,subir ipite miez sita tu utausoma mzk wake
 
Wazee wa kukaaa kwenye soketi ya umeme wakija hapa hawatakuelewa mi ni bora simu inisumbue mengine lakini siyo kwenye chaji asee
Mm simu hii nimechaji toka jana mpaka sasa chaji ipo nusu halafu hata ukeshe kwenye mtandao haiwi yamoto.
 
Mkuu kuna simu inayokaa na chaji kuipita tecno ?
Hahaaaaa. Hapo nitashindwa kutoa ushahidi sababu mie huwa naamini matumizi ndio yanafanya simu ikae na chaji au kutokaa na chaji.

Huwezi sema Tecno inakaa na chaji wakati kutwa nzima upo job na ikitokea umeperuzi simu basi ni muda wa breakfast au lunch. 😂😂

Kila simu inakaa na chaji kikubwa ni aina ya matumizi tu.
 
Ngoja waje mpambane ila kiukweli Tecno niliwahi tumia na ikanizingua upande wa Network yaani ukiwa mjini ndio unapatikana nikirudi home ni kama nina kopo tu.

Toka hapo sijawahi tumia tena Tecno aiseee na sitatumia tena. Ilikuwa Tecno C9 hiyo.
pole Sana mtani, tatzo Tesino ni kama za wajereman maana ile ni Dona kantre.. karbu kwenye dunia ya Nokia tangu 2009 napeta nayo mpk sasa.... Soon ntahamia Xioami, Oppo na Iphone
 
Hahaaaaa. Hapo nitashindwa kutoa ushahidi sababu mie huwa naamini matumizi ndio yanafanya simu ikae na chaji au kutokaa na chaji.

Huwezi sema Tecno inakaa na chaji wakati kutwa nzima upo job na ikitokea umeperuzi simu basi ni muda wa breakfast au lunch.

Kila simu inakaa na chaji kikubwa ni aina ya matumizi tu.
Sawa mkuu fanya kautafiti kako ulete mrejesho hapa ipi ni chaji sarver kati ya Tecno na hizo simu zingine
 
Tecno kwa mapichapicha ni KIBOKO uzuri wake ni affordable yaani features za Tecno let's say j8 ikiwa ni za Samsung tungennunua labda 2million
IMG-20180905-WA0003.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom