Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tecno User Vs Samsung and iphone user

Mi ni tecno user na siyo kwamba sijawahi kumiliki samsung hapana ila ilinichosha kutokana na kutaka kunigeuza kuwa teja wa kwenye soketi ya umeme.

Toka nimeanza kutumia tecno hizo changamoto kwangu ni no japo hazidumu sana sometime na mapicha picha yake lakini Tecno is the best kwangu.

---inakaa na chaji 24+ hours kama sina mambo ya kufanya online.

__Camera yake iko vizuri .

__Kioo kikubwa

__Rahisi kuitumia haina mambo mengi.

__Space ya kutosha tu 16GB siyo haba kwa matumizi yangu binafsi.

__bei yake ni kawaida tu kwa mimi mjasiriamali au ata mkulima kuweza kuimudu.

__Upande wa data ni 4G+ na hazina ugumu kwenye upande wa Network setting.


Mnaotuponda watumia Tecno mkuje hapa mtupe Utofauti wa simu zenu.


Mi niko hapa natumiaTecno na hii post mnayoina nimeandika kwa kutumia tecno bila shaka mmeiona haina tofauti na atakaekuja kuandika kwa kutumia Samsung au I phone.
Nategemea kukuona tena hapa pindi camera yako ikianza kugoma kufanya kazi.

Wamiliki wa tecno wote hamuendi mbinguni.
 
pole Sana mtani, tatzo Tesino ni kama za wajereman maana ile ni Dona kantre.. karbu kwenye dunia ya Nokia tangu 2009 napeta nayo mpk sasa.... Soon ntahamia Xioami, Oppo na Iphone
Ahsante Mtani. Kwani hiyo Xioami nayo ni simu eeee maana mtani wako Mshamba aisee. 🙈🙈🙈

Nimeona General Mangi kaandika nikabaki nimeduwaa kumbe ni aina ya simu. Duuh.
 
Nilikuwa napenda sana lg na nimetumia sana kuanzia lg v10,lg g3,samsung s5,4 na 3 ila tatizo ni moja hazikai na chaji tena bora Samsung kuliko lg zinapata moto kama zimetoka jikoni.ila saizi nimeamia kwenye iphone chaji saa 24 halafu data zipo on pia haipati moto gb zakutosha 128 .
Uliibiwa mm natumia LG Q6
 
Sawa mkuu fanya kautafiti kako ulete mrejesho hapa ipi ni chaji sarver kati ya Tecno na hizo simu zingine
Uuwiii unanipa kazi ngumu aiseee.

Nyie fanyeni utafiti tu ila mwisho wa siku mjuage namna ya kutushawishi ili tuamini huo utafiti wenu. 😂😂😂
 
Nategemea kukuona tena hapa pindi camera yako ikianza kugoma kufanya kazi.

Wamiliki wa tecno wote hamuendi mbinguni.
Mkuu hayo mapicha picha nilishayaelezea mbona kwangu ni changamoto ya kawaida kuliko changamoto ya chaji.
 
Wewe ndio mtu wa kwanza kusifia tecno phones, maana hizi simu naona watu wengi watumiaji wanalalamika tu lakini wanazitumia, binafsi sijui chochote kuhusu tecno kwani hata kuzishika tu sijawaji
 
Wewe ndio mtu wa kwanza kusifia tecno phones, maana hizi simu naona watu wengi watumiaji wanalalamika tu lakini wanazitumia, binafsi sijui chochote kuhusu tecno kwani hata kuzishika tu sijawaji
Jiulize tu mkuu wanalalamika lakini bado wakienda shop wanazinunua hizo hizo .

Tecno zina mapicha picha kweli sometime lakini ni kati ya simu nzuri zimetengenezwa kutokana na mazingira na gharama za mtumiaji.
 
Jiulize tu mkuu wanalalamika lakini bado wakienda shop wanazinunua hizo hizo .

Tecno zina mapicha picha kweli sometime lakini ni kati ya simu nzuri zimetengenezwa kutokana na mazingira na gharama za mtumiaji.
Kweli jamaaa ni kwa ajili ya mtumiajii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom