Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,643
- 4,182
Nenda kiwandani utengenezewe yako mkuu.
ANYWAYS,
TUHAMIE KWENYE INFINIX,
THE CHEAPEST NI SH. NGAPI?
Nenda kiwandani utengenezewe yako mkuu.


Nenda kiwandani utengenezewe yako mkuu.
Nategemea kukuona tena hapa pindi camera yako ikianza kugoma kufanya kazi.Mi ni tecno user na siyo kwamba sijawahi kumiliki samsung hapana ila ilinichosha kutokana na kutaka kunigeuza kuwa teja wa kwenye soketi ya umeme.
Toka nimeanza kutumia tecno hizo changamoto kwangu ni no japo hazidumu sana sometime na mapicha picha yake lakini Tecno is the best kwangu.
---inakaa na chaji 24+ hours kama sina mambo ya kufanya online.
__Camera yake iko vizuri .
__Kioo kikubwa
__Rahisi kuitumia haina mambo mengi.
__Space ya kutosha tu 16GB siyo haba kwa matumizi yangu binafsi.
__bei yake ni kawaida tu kwa mimi mjasiriamali au ata mkulima kuweza kuimudu.
__Upande wa data ni 4G+ na hazina ugumu kwenye upande wa Network setting.
Mnaotuponda watumia Tecno mkuje hapa mtupe Utofauti wa simu zenu.
Mi niko hapa natumiaTecno na hii post mnayoina nimeandika kwa kutumia tecno bila shaka mmeiona haina tofauti na atakaekuja kuandika kwa kutumia Samsung au I phone.

Ahsante Mtani. Kwani hiyo Xioami nayo ni simu eeee maana mtani wako Mshamba aisee. 🙈🙈🙈pole Sana mtani, tatzo Tesino ni kama za wajereman maana ile ni Dona kantre.. karbu kwenye dunia ya Nokia tangu 2009 napeta nayo mpk sasa.... Soon ntahamia Xioami, Oppo na Iphone
Uliibiwa mm natumia LG Q6Nilikuwa napenda sana lg na nimetumia sana kuanzia lg v10,lg g3,samsung s5,4 na 3 ila tatizo ni moja hazikai na chaji tena bora Samsung kuliko lg zinapata moto kama zimetoka jikoni.ila saizi nimeamia kwenye iphonechaji saa 24 halafu data zipo on pia haipati moto gb zakutosha 128 .
Uuwiii unanipa kazi ngumu aiseee.Sawa mkuu fanya kautafiti kako ulete mrejesho hapa ipi ni chaji sarver kati ya Tecno na hizo simu zingine
Nina Nubia Z11 Mini. naWale wa IPhone tunaweka wapi Reply zetu?
Uuwiii unanipa kazi ngumu aiseee.
Nyie fanyeni utafiti tu ila mwisho wa siku mjuage namna ya kutushawishi ili tuamini huo utafiti wenu.![]()
Ni best phone ni copy and paste ya Iphone, ukiipata utaipemda na utataman ufunge nayo ndoaAhsante Mtani. Kwani hiyo Xioami nayo ni simu eeee maana mtani wako Mshamba aisee. 🙈🙈🙈
Nimeona General Mangi kaandika nikabaki nimeduwaa kumbe ni aina ya simu. Duuh.
wala sikuibiwa tena originally ila lg ziko hivyo kubali kataaUliibiwa mm natumia LG Q6
Jiulize tu mkuu wanalalamika lakini bado wakienda shop wanazinunua hizo hizo .Wewe ndio mtu wa kwanza kusifia tecno phones, maana hizi simu naona watu wengi watumiaji wanalalamika tu lakini wanazitumia, binafsi sijui chochote kuhusu tecno kwani hata kuzishika tu sijawaji
Oooh. Basi bakiaga huko tu kwa Tecno japokuwa mie hazijawahi fanya nikazichukia.Ongera ni moja kati ya simu ambazo nimewahi kuzichukia sana
Ooh. Nimeelewa sasa Mtani.Ni best phone ni copy and paste ya Iphone, ukiipata utaipemda na utataman ufunge nayo ndoa
Kweli jamaaa ni kwa ajili ya mtumiajiiJiulize tu mkuu wanalalamika lakini bado wakienda shop wanazinunua hizo hizo .
Tecno zina mapicha picha kweli sometime lakini ni kati ya simu nzuri zimetengenezwa kutokana na mazingira na gharama za mtumiaji.