Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tecno User Vs Samsung and iphone user

Mimi mwenyewe natumia tekno kwangu naona poa tu bei yake inafika 280 mpaka 290. Sababu kuu Mimi ni msahaulifu sana mara nyingi tu simu zangu zinapotea kwa sababu hiyo. Kwa hiyo, 290 au 280 ikipotea huwa navuta tu fasta, hata ikianguka chini kwa namna gani moyo huwa haushtuki.
 
Hahaaa. Ila Mtani wangu yule si wajua tena mtani anaweza kwambia hata vile vya kweli. 😂😂😂😂
Ndio raha ya kua na makabila lukuki Tanzania Hajar

Yaani hukosi mtani popote utakapokua

Ila kuna ile mikaangizo ya masapta sapta ulisema saa zile, utakapokua unapika usisahau na Kibanda Meno😀😀😀
 
Watumiaji wa Sony nahisi nmebaki mimi tu.
Niliwahi kuwa na Sony T (LTE) ilikuwa nzuri sana. It's downside ilikuwa betri. Nikahamia LG G2, camera yake ilikuwa mbayaaa, ikaanguka ikapasuka kioo, nikahamia Sony T3, hii ilikaa mwezi tu. Siku moja nafanya tethering la laptop, ikafa sehemu ya sim card, nikabiwa spare hadi iagizwe China, bull sh#t.

Nikahamia Huawei Y6 Pro, betri inakaa sana, ila ni janga tu nayo, screen is not responsive sometimes. Nikaachana na hizi brands maarufu. Sasa hivi nina Infinix Note 5.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom