Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tecno User Vs Samsung and iphone user

Sijawahi kuitumia. Lakini niliangalia review zake naona wanasema iko fresh yaani.
naitumia naona iko poa,pia niliwahi kutumia c7 ilikuwa vizur hili tatzo la kuganda cm sijawahi kuliona kwake na mm kwa kuingia mtandaona na kudownload ndo zangu ila zingine ukiwa na tabia ya kupakua mafile makubwa hazichelewi kustuck,mi naona haya matoleo ya camon ni mazuri
 
naitumia naona iko poa,pia niliwahi kutumia c7 ilikuwa vizur hili tatzo la kuganda cm sijawahi kuliona kwake na mm kwa kuingia mtandaona na kudownload ndo zangu ila zingine ukiwa na tabia ya kupakua mafile makubwa hazichelewi kustuck,mi naona haya matoleo ya camon ni mazuri
Sawa...basi enjoy mkuu...
 
Ndio nina wiki hapa toka nihamie tecno kutoka samsung Note....samsung zikianza kusumbua battery utaziomba poo. Niko na tecno pouvoir 2 naona iko bomba tu
Ongera sana mkuu achana na hao wanaonunua simu kutokana na umaarufu wa majina ya kampuni .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom