Tecno smart phone ni shidaaaaaa


ni custom rom mkuu

majanga mengine tecno hazina custom rom nyingi na stable
stock rom zake zenyewe kuzipata kazi itaku custom rom kwel.
 
Tecno, Kwa kweli ni sheeda. Mimi natumia kwa shida tu, sababu najipanga kununua iphone....sasa hivi natumia Tecno F7 yaani inajizima hiyo hatari na imekuwa slow mno..
 
Tecno, Kwa kweli ni sheeda. Mimi natumia kwa shida tu, sababu najipanga kununua iphone....sasa hivi natumia Tecno F7 yaani inajizima hiyo hatari na imekuwa slow mno..

wenzio wanajipanga kununua techno,wapi ushauri
 
Mtu anaeenda dukani ananunua Tecno huwa namuona ni km hajaelimika juu ya bidhaa nzuri ya kutumia, Tecno ni cm zilisotengenezwa kwa technology ya chini sana
 
Nimetumia smartphone kwa mara ya kwanza

Huawei y200 then
Huawei y300 alafu
Tecno P 5 zikafuata..
Tecno m3
Samsung s4 copy
Sumsung note copy
Itel tablet
Tecno H6
Na sasa natumia
Tecno C8

Nakubali kiwa kuna slightly problems katika tecno ila si kwa kiwango muanzisha mada alichosema.

Kwa mfano mie p5 ndio mara chache ikilemewa ilikuwa ikizima kioo kuwaka mpk itoe baterry, inaweza kuwa inaita ila kioo kiko off unashindwa kupokea simu. Pia m3 ku delay tatizo la kupokea mara chache.

H6 sikupata tatizo sana labda kidogo iyo ya mwanga kuwa mkali sana nilikiwa kama nahs kuwa ilihtaji mwanga sana hasa nikiwa nje.

Hii C8 nilionayo kwa bettry kukaa na chaji chawai ona ipo poa sana, tatizo ninaloliona kidogo ni delay ya action ni kama memory inakuwa nzito kiasi wakati nakiwa nafanya task ndogo kabisa. Kwa mfano naangalia contacts ina delay sana ku view

Tecno wana matatizo yao kiasi chake lakini si wakubeza, kwa tanzania ni sawa na kumbeza machinga.

So wamekuwa wakombozi, juzi nikiwa natafta simu sokoni nikasema basi nijichukulie C8 nikaona s3 jamaa angu mmpja k.koo akasema nipe iyo lak 3 nikuachie s3 samsung used kidogo. Nikaicheki weeee, nilipogundua kuna line moja tu nikaachana nayo.

Tecno ana strength zake
 

Hebu tupe hizo rom za sony au samsung ambazo zinaingia kwenye tecno. Mediatek hawajarelease source code kwa madeveloper, huwezi chukua custom rom ya exynos au snapdragon ukaeka kwenye simu ya mediatek, simu itakufa.

Labda umechanganya launcher na rom
 
ni custom rom mkuu

majanga mengine tecno hazina custom rom nyingi na stable
stock rom zake zenyewe kuzipata kazi itaku custom rom kwel.
asante mkuuu ni custom rom nimechanganya sukari na chumvi :redface:
 
mkuu sikuwa makini katika ku type, ni custom rom:shock::shock::shock:
 
mikampuni mingine bana utafkiri imelazimishwa kutengeneza smartphone
 
ukipita krb na sheli inatoa notification .cherger connected
ndege ikipita ? missed call
 
Kwa mfano mie p5 ndio mara chache ikilemewa ilikuwa ikizima kioo kuwaka mpk itoe baterry, inaweza kuwa inaita ila kioo kiko off unashindwa kupokea simu. Pia m3 ku delay tatizo la kupokea mara chache.

H6 sikupata tatizo sana labda kidogo iyo ya mwanga kuwa mkali sana nilikiwa kama nahs kuwa ilihtaji mwanga sana hasa nikiwa nje.

Hii C8 nilionayo kwa bettry kukaa na chaji chawai ona ipo poa sana, tatizo ninaloliona kidogo ni delay ya action ni kama memory inakuwa nzito kiasi wakati nakiwa nafanya task ndogo kabisa. Kwa mfano naangalia contacts ina delay sana ku view

Tecno wana matatizo yao kiasi chake lakini si wakubeza, kwa tanzania ni sawa na kumbeza machinga.

So wamekuwa wakombozi, juzi nikiwa natafta simu sokoni nikasema basi nijichukulie C8 nikaona s3 jamaa angu mmpja k.koo akasema nipe iyo lak 3 nikuachie s3 samsung used kidogo. Nikaicheki weeee, nilipogundua kuna line moja tu nikaachana nayo.

Tecno ana strength zake[/QUOTE]

Mkuu umemuelewa mtoa mada?
Bado umeongezea matatizo mengine lakin cha ajabu unawakubali.
Unafanya kazi kwa mchina nin? Kwe kwe kwe kweeee
 
Mtu anaeenda dukani ananunua Tecno huwa namuona ni km hajaelimika juu ya bidhaa nzuri ya kutumia, Tecno ni cm zilisotengenezwa kwa technology ya chini sana

wewe umetengeneza ipi yatech ya juu na mtu ananunua simu kwa uwezo wa mfuko wake sasa kuelimika kunakujaje
 
mi yangu H5 tatizo kuganda. ukifanya kitu inaganda wewww mpk usubiri.

Punguza App umei overload hiyo simu, achani kulalamika kwa matatizo mnayo yasababisha ninyi wenyewe, siku moja nimeshika simu ya mtu humo kwenye simu kaweka 360 security, cm security, clean master, du betr buster, du betr, betr doctor, avast RAM yenyewe 512MB sasa nikajiuliza hivi huyu anajua hata kazi ya hz app au ndio hivyo tena, ilibidi nimpe darasa tukapunguza app sim ikawa nyepesi. Na wengine mpo humu mnajua tu kulalamika.
Mm nilianza kutumia P3, N3,M3, P5, H7 na sasa C8 nasijajutia hata siku moja matatizo ya hizi simu huwa nayasoma humu Jf tu. Najiuliza mbona mm sijawahi kumbana na mojawapo kati ya hayo yote.
 

9 na 16 nime vi experience na pia ikiwa kwenye charge ni ngumu kuitumia inakuwa ina fungua vitu usivyo taka kufungu au kama ipo kwenye patten ndio unaweza usiifungue kabisaa mpaka uitoe kwenye charge, TATIZO lingine la tecno inauwa memory card haraka kama ni mtu wa ku download app na games mara kwa mara upande wa charge tecno ina vumilia kiasi ila ipo slow kama sec 2 mpaka 3 ukiipa order ya kufungua kitu yani tecno bado ni nzito kiutendaji PIA TECNO INA mdudu SUGU anaitwa MONKEY TEST _ TROJAN inakupa option ya ku download maliciou app detection na HAZIFUI DAFU bora nirudie NOKIA au SONY
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…