tumekariri kuwa expensive is better..wengi wenu hapa matumizi ya cm ni Facebook,whatsapp, jf,call na kupiga picha....! huo uduni wa techno uko wapi?
Mkuu sipo hapa kuiponda Tecno........hata mimi ninayo.
Unakubaliana na mkuu
NYARUGANDO hapo chini?
Kabisa haina tofauti na Galax 4 Mimi naitumia na ndg yangu anayo s4. Tumezicompea kwa kila kitu na ziko droo mkuu!
As far as I know hili ni jukwaa la tech inabidi tujadili mambo kwa uhalisia wake na sio siasa, kukubaliana na mkuu Nyarugando hapo juu kwangu mimi hakuna maana yoyote. Simu hazilinganishwi kwa staili hii mkuu,,,,,,,its all about specifications
Hii itakuwa sawa na kusema Gongo na Johny Walker zipo sawa kwakuwa wote mnalewa
Tecno ni bidhaa duni kwasababu haina utambulisho kimataifa, ni kama kampuni ya mfukoni tu
Haina "TBS" za kimataifa haijasajiliwa kuwa standards na kupata IMEI za kimataifa kwasababu hawajakidhi vigezo na tecknolojia yao asilimia 100 wanacopy lakini wanatengeneza kwa kutumia cheap material
Nenda website zote kubwa kuanzia GSMARENA na zote unazozijua wewe katafute kama utaipata Tecno
Tecno utaikuta kwenye Blog na web site uchwara za Kinaijeria, Ghana, India Kenya na nchi za kichovu kama zetu
Narudia tena kwa hali zetu za kiuchumi Chinese phone ndio mkombozi wetu lakini tusijidanganye eti zipo sawa na..........
Kama unataka chinese phone ya ukweli kwa maana ya specification basi chukua Sumsang S4 clone