Buhamila
Senior Member
- Feb 5, 2012
- 160
- 82
Hahaaa mnafarijianae
Wewe unayecheka toa reasonable advantage of s4 over A+
Hahaaa mnafarijianae
wadau ningependa kujua zaidi kwa mwenye uelewa wa hii simu ya kichina ya tecno phantom A+, hasa kwa ambaye keshaitumia niweze kujua ubora wake.
Asante mkuu, kesho tu ngoja nikapate na mie kitu cha Tecno, hizi s4 gharama yake balaa,
Mbona kama mwanamama wewe?kwani umesikia sikia kuna mgonjwa?unawashwa wee
Mbona kama mwanamama wewe?kwani umesikia sikia kuna mgonjwa?unawashwa wee
Mimi nimeitumia miezi miwili sasa. Iko poa sana. Tatizo moja: nikibonyeza reboot inazima moja kwa moja. Betri nachaji mara mbili kwa masaa 24. Kuna mdau mmoja kasema unasoma screen hata kwenye mwanga mkali, siyo kweli. So far so good for me, except for the reboot problem!!
Heshima mkuu, nakubaliana nawe wengi tunanunua vitu kulingana na majina makubwa.
phantom a+ cha mtoto. sasa nunua f8 haina tofauti na s4. nimeiagiza nairobi kwa elf20000 za kenya
Mmmmh! ngoja ninyamaze nisijetukanwa na kuitwa hater, ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaah!!!!!!!Useme huwezi kuzifananisha kwa bei lakini kwa function ziko droo. Nina uhakika na ninachokisema mwenye kupinga sponge kwa hoja kwa kuorodhesha function ambazo s4 inazo thidi ya phantom A+
Weweee!? huogopi kutukanwa mkuu! ngoja waje wenyewe!Hiyo ni simu ya kishamba
afadhali tochi
Ni simu poa tu, mi nimeitumia hii simu kama miezi miwili, internet speed ni kubwa pia inajitahidi kukaa na charge.
Ila subiri waje TECNO haters !!
Useme huwezi kuzifananisha kwa bei lakini kwa function ziko droo. Nina uhakika na ninachokisema mwenye kupinga sponge kwa hoja kwa kuorodhesha function ambazo s4 inazo thidi ya phantom A+