Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
Ubora was Tecno uko wazi kabisa ndio maana unapewa warranty ya miezi 13. Labda na we we nijuze hiyo gallaxy yako unapewa warrant ya mud a gani!
samsung miezi 24 na kuna simu unapewa accidental damage from handling.
ndio kampuni pekee africa inayotoa hivi vitu.
kwenye hio adh unapewa faida hizi
1. kutengenezewa kioo kilichopasuka mara mbili
2.kutengenezewa simu ilioingia kimiminika (maji) mara mbili
3. kutengenezewa kioo kilichodondoka mara 1 na maji mara 1
hapa hujaongelea suport kaka ukiwa na tatizo samsung kuna jamaa wa customer care unachat nao hapo hapo unapewa solution.
hao tecno hata headquarter yao haijulikani ilipo hawana hata customer care, matatizo yao yanatatuliwa jf.