Yoso
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,642
- 2,824
Hatukatai Tecno in low quality products ,lakini pamoja na udhaifu wao bado wanakupa 12+1 monthly warranty....... technical supported sasa ni sawa kununua IPhone au Galaxy inayoingizwa nchini kama refurbish product?....au clone S4 isiyokuwa Na uhakika ikiharibika itatengenezwa na nani ....kwa hili nafikiri Tecno ni mshindi.