Tecno ndogo t347

Tecno ndogo t347

Yap hata kioo chake kinakua ni njia 24 japo hata njia 20 kinasoma na hizi t340 original zinatumia njia kioo16
Hapo kwa kioo shikamoo bhana.. Mi cpend hata kidogo hardware... Mi nimejijenga sana kwenye software tu.... Ila nataman niwe mkali wa hardware ila naogopa bhana
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hapo kwa kioo shikamoo bhana.. Mi cpend hata kidogo hardware... Mi nimejijenga sana kwenye software tu.... Ila nataman niwe mkali wa hardware ila naogopa bhana
Maisha ni kujaribu hata mie sio mkali kiviile ila tunaigilizia tu
 
Unapo nunua unaweza tambua kama ni mtk lr spd
Asanteni sana wana jumuiko

Simu yangu ishapona na sasa nipo hewani tena
20982eaed521f5340b1214654ebe4c49.jpg
 
Back
Top Bottom