Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,131
- Thread starter
-
- #61
Niko na L9 hapa full burudani
Full burudani mkuuHiyo L9 nasikia inakaa na chaji kama inatumia betri ya sola[emoji16]
ipitishwe bungeni , wapige ban utumiaji wa tekno
Viva Samsung
[emoji23][emoji23]Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..
Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??
Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
Je izo ulivoziona specification zake ni nzuri kidogo au ni kama tecno nyingine tu?Kuna tecno i3, i5 etc huko india, huku zipo?
[emoji16][emoji16][emoji16]haya ni maneno ya mtanzania. We piga kitochi tu. Sisi ni duroNi bora nitumie nokia ya tochi au vile vi samsung vidogo vya button kuliko Tecno
Posibly ni series special kwa ajili ya India. Sijaipitia sana ila wemetumia processor za qualcomJe izo ulivoziona specification zake ni nzuri kidogo au ni kama tecno nyingine tu?
Alaf hawa wenye vi iphone vya kurefubrish wanatusumbua na mipower bankFull burudani mkuu
Chaji inakaa muda mrefu
Screen pana
Simu nyepesi inafanya kazi kwa ubora
Imeshawahi anguka kama Mara NNE hivi lakini kitu chuma chumaa
Tupo pamoja sana. Tunamuwakilisha Shivo kwa nguvu zote[emoji23][emoji23]Tecno oyeeeee!!!
[emoji16][emoji16][emoji16]haya ni maneno ya mtanzania. We piga kitochi tu. Sisi ni duro
Sahihi mkuu mi mwenyewe baada ya kuyumba kiuchumi ndio nkachukua hii spark 2Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..
Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??
Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
Message/post zenu huwa zinajitenga. We changia tu usiwe na hofuHivi huu uzi hata sisi wenye iphone tunaweza kuchangia kwa kuchanganyika na wenye vitechno, tusumsung na vi itel.? Tusijekwaza watu bure....
Utafiti wangu mdogo tu unaniambia hivohivo..iPhone users wengi wa bongo wanatumia refurbished iPhones ..Alaf hawa wenye vi iphone vya kurefubrish wanatusumbua na mipower bank