Lembeli aangalie sana maana kinua mgongo chake chote kitaishia kwenye boda boda. Ni ushauri wa bure hasije akawa Mpendazoe wa pili, ameshaweuka kwa madeni
kurudi tinde wanabebwa kwenye fuso au wataziendesha?
Ni hatariView attachment 271033
Nimependa kauli yako, bravo!!!!!!!!!!!!!ni hatari sana wajemeni ,hivi magufuli anategemea kura za wamama wazee tu wanaoogopa vita