Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Safi sana.
Washikishe adabu hao Rasi Magufuli.
I’ve got your back and then some.
Mambo ni moto!
Usisahau muosha huoshwa.Safi sana.
Washikishe adabu hao Rasi Magufuli.
I’ve got your back and then some.
Yaani hawa kabisa 2020 wanataka watutawale wao.. duh!!!
Bila aibu.. wajue hatujamchoka JPM na bado..
Nyani Ngabuhahahahaah mie nafurahi,Magufuli akimaliza muda wake,Rais anayekuja aje kumkamata huko Chato kwa kutumia hela ya wavuja jasho zipatazo 1.5 Trillion.......
what goes around comes around!Mafisadi siyapendi kabisa.
Huko yalipo yanahaha tu sasa hivi.
Ngosha Simba bana.
Hahahahahaa.
Mimi ujeuri wake unanivutia sana.
Haogopi mtu.
Usisahau muosha huoshwa.
Mkuu hata mimi nipo naye 100%, ukicheka na ndegere utavuna mabuaKwa~hili nipo upande wa JPM