Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Wewe kilichokusikitisha ni nini?Sasa kitu gani kimekufurahisha wewe msukuma wa Nyamadoke?
Wewe kilichokusikitisha ni nini?Sasa kitu gani kimekufurahisha wewe msukuma wa Nyamadoke?
Aliyosema Zitto,yanakwenda kutimia!!
Rais ajae atakuwa Bashite Daud atamlinda hakuna wa kumgusa kamwe
Wanyooshane tu, maendeleo ya hii nchi yatakuja pale hiki chama kitakapokufa, japo wengi wetu huenda tukawa pia tushakuflia mbali.
Ki ukweli hawana kosa lakini kwa kuwa sasa anatumia mawazo na fikra za cyprian musiba watalazimisha kesi kwa njia zozote zileHahahhaah
Mkuu ndio maana nauliza maana hawa hawana kesi inayo warrant walao court hearing!
There is none!
Ni uoga wa jamaa tu!
CCM ni chama Dola kitadumu na kudumu!Naona lumumba mnafurahia kifo cha ccm
Utaoshwa wewe kwanza!Usisahau muosha huoshwa.
1.5Mafisadi siyapendi kabisa.
Huko yalipo yanahaha tu sasa hivi.
Ngosha Simba bana.
Hahahahahaa.
Mimi ujeuri wake unanivutia sana.
Haogopi mtu.
Wewe kilichokusikitisha ni nini?
Ni jinsi ulivyo sherehekea
CCM ni chama Dola kitadumu na kudumu!
Utaoshwa wewe kwanza!
Rais ajae atakuwa Bashite Daud atamlinda hakuna wa kumgusa kamwe
haya ndiyo nisiyoyataka kamwe,utu uzima wa kuumbuana haifai kabisa.hahahahaah mie nafurahi,Magufuli akimaliza muda wake,Rais anayekuja aje kumkamata huko Chato kwa kutumia hela ya wavuja jasho zipatazo 1.5 Trillion.......
Ha ha huyo ikaingia ikulu ujue kuwa yale ya gereza la Butimba kuwa ni mfungwa mtarajiwa yatatimia kama Rais wa Sudan, misriBECKY ndio nitakua rais...Bashite wala nani hawatakuwepo...
Atalazimisha awe Rais ili amlinde asishitakiweBashite labda awe rais wa wasiyo na vyeti
😂😂😂😂 hamuijui CCM ninyi, hizi sarakasi zote ni kumjengea mtu imani kwa wa TZ wala hakuna ugomvi wa kiivyoo CCM
Hivi mnamaanisha tusichukuliane hatua kwavile hakuna msafi? Seriously?Na kesi ya kubwa la majizi kuhusu ukwapuzi wa nyumba za Serikali akishirikiana na fisadi Mkapa, ununuzi wa kivuko UOZO kwa bilioni 8 na ukwapuzi wa 6.5 trillions za walipa kodi uliofanywa na huyo kubwa la majizi wa chato zinafunguliwa lini.
Hii issue huyo nduli kishapigwa mueleka mzito sana Ikulu imeshakuwa chungu kwake. Kitaeleweka tu.