Kuna zile pesa za kivuko, pia billion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kipindi akiwa waziri na sasa ujenzi wa chato airport, 10% ununuzi wa ndege na bilion zingine za ukarabati wa ndege akina Nape wanajua hayo pia ngoja wanyukane wenyewe kwa wenyewe mpaka keko kujae vigogo wa CCM makao makuuUzuri hata yeye alikiri kuwa ni mfungwa mtarajiwa.
Team Membe watuwekee matokeo ya uchaguzi 2015 tujue msafi ni nani.
Which part of the back have you got?Safi sana.
Washikishe adabu hao Rasi Magufuli.
I’ve got your back and then some.
Wao watamfungulia Mahakama za uholanzi The Hague lakini Mahakama za nyumbani zipo chini ya cyprian musiba hawataweza kusikilizwa kamweYaani wakifunguliwa mashtaka kwa kweli na wao wamfungulie...
Which part of the back have you got?
Safi sana.
Washikishe adabu hao Rasi Magufuli.
I’ve got your back and then some.
Labda wakafungue kesi kwenye Mahakama za UN na wakili awe Tundu Lisu lakini kufungua kesi huko Mahakama za pale jirani na njia ya kwenda kwao watapoteza mda wao ni vigumu wakasikilizwa na kupata haki.Na kesi ya kubwa la majizi kuhusu ukwapuzi wa nyumba za Serikali akishirikiana na fisadi Mkapa, ununuzi wa kivuko UOZO kwa bilioni 8 na ukwapuzi wa 6.5 trillions za walipa kodi uliofanywa na huyo kubwa la majizi wa chato zinafunguliwa lini.
Hii issue huyo nduli kishapigwa mueleka mzito sana Ikulu imeshakuwa chungu kwake. Kitaeleweka tu.
Kosa ni kuikosoa serikali ya awamu ya Tano ambayo haitaki ikosolewe mileleManigga(In Denzel’s Training Day voice)
Nipe kosa la Kinana in clear terms!
😂😂😂😂 hamuijui CCM ninyi, hizi sarakasi zote ni kumjengea mtu imani kwa wa TZ wala hakuna ugomvi wa kiivyoo CCMYaani hawa kabisa 2020 wanataka watutawale wao.. duh!!!
Bila aibu.. wajue hatujamchoka JPM na bado..
Manigga(In Denzel’s Training Day voice)
Nipe kosa la Kinana in clear terms!
Safi sana.
Washikishe adabu hao Rasi Magufuli.
I’ve got your back and then some.
Kosa ni kuikosoa serikali ya awamu ya Tano ambayo haitaki ikosolewe milele
Yaani hawa kabisa 2020 wanataka watutawale wao.. duh!!!
Bila aibu.. wajue hatujamchoka JPM na bado..
Haitapata support ya Watanzania maana inaonekana ni mambo ya ego za ndani ya Chama hakuna kitu kinahusu serikali, jeshi au usalama wa taifa. Kupingana na rais kwenye chama ni tofauti sana angalieni Zuma wa South ilivyokuwa
Rais ajae atakuwa Bashite Daud atamlinda hakuna wa kumgusa kamwehahahahaah mie nafurahi,Magufuli akimaliza muda wake,Rais anayekuja aje kumkamata huko Chato kwa kutumia hela ya wavuja jasho zipatazo 1.5 Trillion.......
Kwa~hili nipo upande wa JPM
Mabox manNa kesi ya kubwa la majizi kuhusu ukwapuzi wa nyumba za Serikali akishirikiana na fisadi Mkapa, ununuzi wa kivuko UOZO kwa bilioni 8 na ukwapuzi wa 6.5 trillions za walipa kodi uliofanywa na huyo kubwa la majizi wa chato zinafunguliwa lini.
Hii issue huyo nduli kishapigwa mueleka mzito sana Ikulu imeshakuwa chungu kwake. Kitaeleweka tu.
Mambo ni moto!